Muonekano wa kituo kipya cha daladala cha Kinyerezi

Muonekano wa kituo kipya cha daladala cha Kinyerezi

[emoji28][emoji28][emoji28] Kweli ni sehemu nzuri kuishi hata Mimi nilikuwa napapenda lkn kwa yaliyonitokea huko hata nikipita nasisimka na moyo unakimbia na kujihisi fedheha sana. Pambana viwanja bado vipo utavikuta

Nini boss kilitokea mkuu embu nijuze
 
Walikuwa wananitombea manzi yangu mmoja nilikuwa namfeel kinyama. Hamna lodge/hotel ya kinyerezi huyo manzi hajaingizwa- kwa miaka minne ndiyo yalikuwa machimbo yake , mpaka mchepuko injinia katimba sana site yaani 😭😭😭
Mkuu ulikuwa mzembe tatizo kazi zenu zina wafanya bize kiasi kwamba mpenzi wako una muda nae na unajenga iman naye

Ulikuwa ustuku siku ukikutana anae kimwili ukiingiza hakuna ukakasi?
 
Huwa nastuka lkn Sasa ndiyo unabakia kama huelewi elewi hlf sometimes na akili nayo inakuwaga kama imefungwa 🤭🤭🤭
Nipo makini sana hapo nikiona hakuna ukakas bas kimoja chap na kuacha af ndio atanieleza vizuri
 
Abiria wa kinyerezi watapata tabu sana mvua yao jua lao,hakuna hata sehemu ya kujihifadhi kipindi cha mvua wala jua kali.
Mimi nipo kwenye Vx inanihusu nini.?Viongozi wa kileo wa bongo wanazidiwa akili hata na mbuzi, ila kupenda sifa sasa.
 
Huo uchafu ndio unaitwa kituo cha daladala?
 
Baada ya mafanikio ya kujenga vituo vya daladala kwa kutumia mamia ya mamilioni ya shilingi katika sehemu kadhaa za jiji la Dar ea Salaam . Swali kuu ni :

JIJI LA DAR ES SALAAM WANA UBAVU WA KUSITISHA USAJILI MPYA WA BAJAJ?

Ni wakati wa madiwani kupitisha azimio kuratibu bajaji na bodaboda ili fedha zilizojenga vituo vya daladala jijini Dar es Salaam zisipotee bure.


Madiwani wa jiji la Mbeya wameweza kufanya maamuzi magumu kudhibiti bajaji na sasa hawa madiwani wa Dar es Salaam jiji kubwa kabisa katika Afrika ya Mashariki nao wachukue uamuzi haraka.

TOKA MAKTABA:

JIJI LA MBEYA WAPIGA MARUFUKU USAJILI WA BAJAJI MPYA



Baraza la Madiwani wa jijji la nyanda za juu kusini la Mbeya waelezea changamoto na kero ya wingi wa bajaj hadi kutapika na kusababisha vurugu, kuegesha bila tahadhari, ajali n.k hivyo kuna umuhimu wa kuratibu idadi ya bajaj ilingane na mahitaji halisi ya jiji.
Kwa jiji la Dar es Salaam bodaboda na bajaji hazitishii biashara ya daladala

Kwasababu ndio jiji lenye route ndefu kuliko majiji yote tanzania

Hivi chukulia route ya posta mbagala, bajaji unadhani hapo si utalipa zaidi ya 2000, bodaboda utalipa zaidi ya 5000 ila daladala,? Haifikii buku.

Kwahiyo miji mengine inaweza kuonekana bajaji ni tishio la dada dala ila sio kwa jiji la Dar es Salaam
Ni mji tofauti sana, hakuna mji wenye sifa zake kwa hapa tanzania
 
Back
Top Bottom