Muonekano wa kituo kipya cha daladala cha Kinyerezi

KWa upande wa msingwa au wapi mkuu?
Japo maeneo ya mbele mpaka mwanzo mgumu. Makofia. Kisunguu hawez kosa eneo sema hela ndo inaweza gomba
Makofia maeneo bado yapo, sema dau sasa ndio linaweza likawa tatizo. So vibaya ukianza ukifuatilia mkuu
 
Acha kutaka vitu vilivyofanyika mbwinde vifanyike kwenye jiji la biashara.

Hizo bajaji zilizoko mbea hazifikii hata idadi ya bajaji zilizopo kigamboni alafu uje utake dar nzima wasitishe usajili wa bajaji mpya. Watoa huduma wataamua kuzika ama kusafirisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…