SI KWELI Muonekano wa Mabasi mapya ya Mwendokasi yaliyoletwa na DART

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hii taarifa wameshasema ni ya kupotosha na wewe unazidi kuchochea uongo
 
Hao wanao panda na samaki waangaliwe
Watokaje ferry na Samaki? Kiwandani ukiagiza gari unatoa specs zote unazohitaji, ni ujinga kuagiza mzigo huku unajua kabisa kuna hitaji la wenye mzigo kama samaki na vyakula vingine.
Mbona wazee na wasiojiweza kuna viti vyao vinekuwa reserves?
Wanafeli kabla ya kuanza.
 
Hoja murua sana hii
 
Nashauri Mwendo Kasi ibinafsishwe. Kwa mtindo huu bado kutakuwa na changamoto.
 
Bandari yetu inafanya kazi nzuri sana
 
Kwan pesa anatoa ktk mfuko wake huyo mama Samia? Pesa zinatoka kwa wanachi wenyewee. Lol
Kuna watu walichukua Hela zetu kuhonga wapinzani na kuua watanzania wenzetu. Mama ameonyesha njia.
 
Nimepita mtandao fulani hivi habari ya haya mabasi kumilikiwa na udart zimekanushwa.
 
DEPO ya Ikarus Kumbakumba ilikuwa Hapo Ubungo inapojengwa China City πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tumbiri katuweza kweli kweli πŸ˜‚
CDM DigitalπŸ™ŒπŸΎ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ§
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…