MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

asante mkuu tumekuelewa!
 
hahahaah ahahahaha ahahahaa safi sana mkuu ndio chako tena mwendo w kuvimba tu.
 
Pole mshana, ngoja mimi nishehe na wanabodi kilichowahinikuta, mwaka 2004 Nilinunua Hiace Bomba tu kwa jamaa mmoja, akanipa copy ya kadi, aliniahidi kuwa atanipeleka TRA Kwenda kufuatilia kadi original, Sikuona taabu kwa kuwa mwenyewe namfahamu. Siku ya siku nikafunga mpaka TRA baada ya kuwa jamaa tunapishana pishana, kufika pale nikaambiwa kadi ya hiyo gari ipo kwenye kampuni ambayo muhusika(Alikuwa mkuu tu) ameiacha pale baada ya kukopa hiyo gari!!, aisee uelekeo ukabadilika, nikajagundua kuwa jamaa aliyeniuzia na yeye alipatishwa shida sana na mkuu yule,Nilikomaa nilikuja kuipata kwa shiida, baada ya mwaka.
 
so ulitaka kusema wewe ni usalama? za long sana hizo. kitambulisho wala hakiwezi ogopesha mtu kama ana nia ya kufanya jambo.
Mkuu usiogope, anawezakuwa Askari Polisi.
 
Hata hao wa kidongo chekundu wanachukua kwa wahindi na waarabu kwa bei ndogo alafu wanakuuzia ww
 
Wakuu, heshima kubwa kwenu!!

Ninataka kununua gari kwa mtu ambaye tumekutana nae www.kupatana.com , ni mambo gani ninapaswa kuyazingatia ili nisije kuvalishwa mkenge kwa kuuziwa gari la wizi?
 
Wakuu, heshima kubwa kwenu!!

Ninataka kununua gari kwa mtu ambaye tumekutana nae www.kupatana.com , ni mambo gani ninapaswa kuyazingatia ili nisije kuvalishwa mkenge kwa kuuziwa gari la wizi?
Mimi ushauri wangu usinunue gari,speeding fines,hela ya kusafishia viatu vya traffic,parking fees zinazoongezeka kila kukicha,nk.
 
Nadhani ukimalizana na TRA,kuna haja ya kutafuta mtu wa karibu mwenye uzoefu wa magari ili akague gari,usichukue hawa mafundi njaa,atapewa hongo na kukukanyagisha mkangafu..
 
Huo mtandao wamejaa matapeli, utakuja kulia kilio cha mbwa mwizi. Shauri yako
 
Gari ipo toyota wish imesimama bei resornable kabisa hakuna kuporojoa 'best deal ever'
 
RRONDO mkuu naomba unisaidie Nataka kuagiza Mitsubishi airtrek ,unaizungumziaje hii gari sina utaalam nayo ,ahsante
 
hahhahahaha mpaka unaona hapakuchi siku hiyo.
 
usha
ushauri mzuri sana kwa wengine ambao tuna ndoto siku moja kununa gari hapa nimepata pa kuanzia .asante sana mkuu
 
Nina bajeti ya 4m nataka Suzuki carry, Prondo vipi siwezi kupata?
 
Hili ni darasa zuri sana, nashukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…