MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

Halafu Mkuu baada ya kulinunua gari ukitaka finishing zngne Na kubadilisha oil au muzik Na mengne meng nenda pale Alamain kule Kariakoo shule ile ya kislanu kuna vjana Wa shaa shaa mpaka utapenda finishing pesa yako tu
 
Halafu Mkuu baada ya kulinunua gari ukitaka finishing zngne Na kubadilisha oil au muzik Na mengne meng nenda pale Alamain kule Kariakoo shule ile ya kislanu kuna vjana Wa shaa shaa mpaka utapenda finishing pesa yako tu
Van dick hawa wapo kila kona ya mji wapo wazuri na makanjanja pia wapo
 
Last edited by a moderator:
asante Sana mkuu kwa ushauri, madalali ni watu wabaya Sana wanajali mijitumbo yao tu
 
Usiogope Mwanangu mm nilipofikia Hatua ya kununua gari nilitulia sana kwanza kablayakununua mwaka 1 nilifanya window shopping karibuu
*3 then ilipofka nilikwenda Ma fund Dereva kutoka mkoani kwangu. Nikaanza mwenyewe window shopping kutoka manyanya yard hadi AAR hosp had US Embassy pale, Nikachua muda Wa sku zngne 3 Na mke wangu tukifunga nakumuomba Bwana atupe gari bora. Wapambe ni Wengi had ktk family take care. Baada ya maombi nikaenda yard pale AAR+ nikapata ki Carina changu bomba kiulaiiinii namwita fund kakikubali. Nikaacha ktambulisho changu cha kaz Kama dhamana nikaenda kulipia huku nyuma kuna mchaga m1 kakipenda. Maana ilikuea December 2015 lkn huku nyuma ktambulisho cha usalama kikawaogopesha wahindi wale hawakumpa mchaga. Hadi Leo kla anayekiona anaksifia Carina yang mpaka basi. Muombe mungu naye hatakutupaa. Carina hii ni roho ya paka namshukuru mungu. USIOGOPE

December 2015 or typing error
 
Katika mambo yote uliyoandika la kweli na la maana ni kutoangalia namba.
Kuhusu udalali nakutafuta gari kwa rafiki au unaefanyanae kazi ni kazi bure.
Sikuhizi kila myu ni dalali kila mahali hadi ikulu
 
Usiogope Mwanangu mm nilipofikia Hatua ya kununua gari nilitulia sana kwanza kablayakununua mwaka 1 nilifanya window shopping karibuu
*3 then ilipofka nilikwenda Ma fund Dereva kutoka mkoani kwangu. Nikaanza mwenyewe window shopping kutoka manyanya yard hadi AAR hosp had US Embassy pale, Nikachua muda Wa sku zngne 3 Na mke wangu tukifunga nakumuomba Bwana atupe gari bora. Wapambe ni Wengi had ktk family take care. Baada ya maombi nikaenda yard pale AAR+ nikapata ki Carina changu bomba kiulaiiinii namwita fund kakikubali. Nikaacha ktambulisho changu cha kaz Kama dhamana nikaenda kulipia huku nyuma kuna mchaga m1 kakipenda. Maana ilikuea December 2015 lkn huku nyuma ktambulisho cha usalama kikawaogopesha wahindi wale hawakumpa mchaga. Hadi Leo kla anayekiona anaksifia Carina yang mpaka basi. Muombe mungu naye hatakutupaa. Carina hii ni roho ya paka namshukuru mungu. USIOGOPE

Aiseee hii ni gari brand new ama used? Bht mbaya mm si mwenyeji Dar! Nimependa endeavour zako towards carina
 
uko sahihi mkuu. ila sometimes bajeti inabana inabidi 'umvue' mtu hapa hapa mjini.....ukilenga unatoka na kitu cha uhakika,just be patient....kuna watu wanauza magari kwasababu ya shida mbalimbali.

Kwa hiyo unafurahia ununue kitu kwa mwenye shida?
Ikiwa ndio ww utajisikiaje?

Kama vipi msaidie shida zake na hicho unachokitafuta kwa urahisi umwachie.

Leo kwake kesho kwako.
 
Uzi mzuri kaka.

Ila kuliko kusumbuka na kadhia zote hizo bora uagize la kwako toka japan moja kwa moja. Atleast kule una guarantee kuwa unapata kitu cha uhakika.

Pia umesahau swala la usafi, kuna magari ndani machafu kinoma, viti vinanuka utadhani walipanda mbuzi huko ndani.

Pia, angalia service history ya hilo gari na aina ya service inayofanywa kwenye hilo gari. Kuna magari yanaenda service yakiharibika tu na si wakati wowote. Kama gari lina service ya kila baada ya muda au kilometa litakuwa na uhakika wa kuwa zima pale unapotaka kulinunua.

Unaweza kuangalia hilo gari lilikuwa linatembelea barabara za aina gani, kuna wale watumiaji wa upanga posta au wao ni full lami mwanzo mwisho. Hawa magari yao yanakuwa nazima kidogo hasa kwenye pysical part ya nje kuliko yale ambayo mwanzo mwisho ni "all weather road"

Usisahau kuchukua chasis namba kwenda polisi au interpol kuangalia kama hilo gari halijaibiwa au la. Manake unaweza kukuta gari limeibiwa zimbabwe na kuja kuuzwa bongo ukawa umeingia mkenge.

Na hakikisha huyo anayekuuzia hiko chombo una mawasiliano yake au ukawa na details zake zote, ili ikitokea umepata matatizo na hilo gari alilokuuzia unaweza ukamtafuta akakupa ABC za hilo gari lake.

CC RRONDO & mshana jr

Haya yote unayoyasema ndio mtoa post kayaeleza...we umetumia slogans nyingine tu, mbona watu mnapenda kujichosha!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unafurahia ununue kitu kwa mwenye shida?
Ikiwa ndio ww utajisikiaje?

Kama vipi msaidie shida zake na hicho unachokitafuta kwa urahisi umwachie.

Leo kwake kesho kwako.


Mkuu ujuaji mwingine unaonekana boya! Ni hivi juzi juzi nimenunua gari kwa MTU,Kama kawaida nikamuuliza kwanini unauza? Akasema anashida ya hela ya kumalizia nyumba yake! Simjui hanijui nimeunganishwa na rafiki yake, kwa hii comment yako ulitegemea nimsaidie hio 8m ya kumalizia nyumba yake?!!
 
Usiogope Mwanangu mm nilipofikia Hatua ya kununua gari nilitulia sana kwanza kablayakununua mwaka 1 nilifanya window shopping karibuu
*3 then ilipofka nilikwenda Ma fund Dereva kutoka mkoani kwangu. Nikaanza mwenyewe window shopping kutoka manyanya yard hadi AAR hosp had US Embassy pale, Nikachua muda Wa sku zngne 3 Na mke wangu tukifunga nakumuomba Bwana atupe gari bora. Wapambe ni Wengi had ktk family take care. Baada ya maombi nikaenda yard pale AAR+ nikapata ki Carina changu bomba kiulaiiinii namwita fund kakikubali. Nikaacha ktambulisho changu cha kaz Kama dhamana nikaenda kulipia huku nyuma kuna mchaga m1 kakipenda. Maana ilikuea December 2015 lkn huku nyuma ktambulisho cha usalama kikawaogopesha wahindi wale hawakumpa mchaga. Hadi Leo kla anayekiona anaksifia Carina yang mpaka basi. Muombe mungu naye hatakutupaa. Carina hii ni roho ya paka namshukuru mungu. USIOGOPE

Dah nimeipenda post yako mkuu, laiti kama kwa kila jambo tungekuwa tunamshirikisha Mungu tungekuwa hatujuti hata mara moja.
 
Mkuu ujuaji mwingine unaonekana boya! Ni hivi juzi juzi nimenunua gari kwa MTU,Kama kawaida nikamuuliza kwanini unauza? Akasema anashida ya hela ya kumalizia nyumba yake! Simjui hanijui nimeunganishwa na rafiki yake, kwa hii comment yako ulitegemea nimsaidie hio 8m ya kumalizia nyumba yake?!!

Hahaha..!
 
Hivi wakuu nimegundua magari mengi yanayouzwa katika mitandao ya hapa Bongo km Kupatana ni Rav 4 Killtime ACA21 zenye injini Vvti,je zina kasoro yoyote?
 
Mkuu ujuaji mwingine unaonekana boya! Ni hivi juzi juzi nimenunua gari kwa MTU,Kama kawaida nikamuuliza kwanini unauza? Akasema anashida ya hela ya kumalizia nyumba yake! Simjui hanijui nimeunganishwa na rafiki yake, kwa hii comment yako ulitegemea nimsaidie hio 8m ya kumalizia nyumba yake?!!

ha ha ha
 
Karibu tuwasiliane kuhusu kuagiza magari japan, dubai na S.A.
Vilevile ukihitaji gari second hand ya Tanzania hapa

Nahitaji ila cc chini ya 800, I dont care 3rd hand ama 4th hand ili mradi iwe na hali nzuri na sio ziaid ya m4.5
 
Back
Top Bottom