MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

safi sana mtoa maada kuhusu ununuzi wa magari. siku hz kuna magari ya kisasa mengi sana hadi yanatuchanganya. je ni gari gani dogo la kutembelea linaweza kutembea umbali mrefu bila kuleta tatizo. mfano kutoka dar kwenda songea na kurudi. asante
 
Uzi umetulia sana... Hasa kwenye point yako ya 6 nilikua sina ujuzi nayo Asante kwa kunielimisha..
 
Pale kidogo chekundu nliletewa Gari mpk nkachanganykiwa maana kla dakika napgiwa sim nkaone duuh balaa nkaamua niagze tu
 
kwa ushauri wangu kama mtu anapesa ya kutosha ni kwenda tu show room na kuchagua kitu roho inapenda , lakini kama ni pesa zetu za kudunduliza basi lazima mtu ununue used kutoka kwa rafiki au jamaa so hayo mengine ni maerekebisho ya kawaida kutegemeana na hali ya gari husika.
 
Lazima nirudi,uzi mzuri Ila mimi sijui kwa nini mara nyingi watu wengi huwa wanaharaka.
Mtu hela yake unamwambia tulia twende taratibu utakuja kumuona na kigari chake huyooooo kesha nunua..
Baaada ya muda anakuulizia wapi kuna mafundi wazuri hahahahahaa.
Kaaaazi kweli
 
ilkuwa DEC 2015.....
 
Uzi mtamu huu na nimeukuta katika kipindi muafaka
Wadau nahitaji used spacio new model au altrnative ya toyota gx110 kwa mwenye msaada hapo.
 

Mtu wa hivyo ni kuachana naye,
 


Umetoa Elimu nzuri saaaaana. Mwenye macho na some na kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…