Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kilichoipa nguvu ni hiyo herufi HQ huko mwisho pamoja na SKU(Model number) ya 710?Gen ya 4 ni ya kizamani kidogo ila hii laptop alietuma jamaa ni special case, yenyewe ni variety ya 45W ambayo inatumia umeme mwingi na kutoa perfomance kubwa.
Mfano hii ni benchmark ya hii i7
View attachment 1678806
Na hii ni i7 gen ya 7 mainstream
View attachment 1678807
Na hii i7 gen ya 8
View attachment 1678810
Hivyo unaona kwenye perfomance hii i7 gen ya 4 ni almost perfomance ya gen ya 8, imeipita mbali gen ya 7.
Na sababu inatumia umeme mwingi pia inaweza ku sustain muda mrefu kwenye perfomance kubwa bila kupungua speed, mfano una render video.
Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.Kilichoipa nguvu ni hiyo herufi HQ huko mwisho pamoja na SKU(Model number) ya 710?
Mkuu ikiwa i3 model numbers huwa zinaanzia 0 hadi 1,i5 model numbers huwa zinaanzia 2 hadi 4 na i7 model numbers huwa zinaanzia 5 hadi 8.Sasa i9 model numbers huwa zinaanzia ngapi hadi ngapi?Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
Ebu icheckNdio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
Mkuu kwema kwa budget ya laki 5 naweza pata laptop aina gani na sifa zake je?Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
I9 hazikuwepo zamani zimeanzia gen ya 9, na zinachukua hio namba 9,Mkuu ikiwa i3 model numbers huwa zinaanzia 0 hadi 1,i5 model numbers huwa zinaanzia 2 hadi 4 na i7 model numbers huwa zinaanzia 5 hadi 8.Sasa i9 model numbers huwa zinaanzia ngapi hadi ngapi?
Ukiona ime andika Microsoft basic adapter ujue haina driver za graphics, Ngumu kujua.
Ukiona ime andika Microsoft basic adapter ujue haina driver za graphics, Ngumu kujua.
Kama a naweza kuweka utaona vizuri.
Laki 5 kama unataka mpya unapata tu hizi celeron na pentium ambazo hazina nguvu kivileMkuu kwema kwa budget ya laki 5 naweza pata laptop aina gani na sifa zake je?
Drivers za graphics.Kuweka nini Mkuu?
Subiri nimuombe anitumie,Drivers za graphics.
Alternative aingie device manager angalie kama kuna hardware gani isio na driver itakuwa na kialama cha njano.
Sawa mkuu jana nilienda kufanya window shopping izo used nikakimbia nipo MwanzaLaki 5 kama unataka mpya unapata tu hizi celeron na pentium ambazo hazina nguvu kivile
Ila ukitafuta used unapata gen ya 6 ama ya 7. Core i5 ambayo itafanya matumizi yote ya kawaida vizuri.
Kama haina laki 5 max, kwa muono wangu.Subiri nimuombe anitumie,
Pia kama haina nimshushe hadi ngapi?
Sawa Mkuu.Kama haina laki 5 max, kwa muono wangu.
Mkuu kwenye kununua laptop nikupe tipsSawa mkuu jana nilienda kufanya window shopping izo used nikakimbia nipo Mwanza
Iyo HP niliambiwa laki 8
Hii Dell et Laki 650
HP laki 6 View attachment 1678906View attachment 1678908View attachment 1678910
Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwaSawa Mkuu.
Na kama haina Driver namiss kitu gani?
Thanks mkuu nimekupata ubarikie kwa hii elimuMkuu kwenye kununua laptop nikupe tips
1. Kuangalia ram na HDD ni vizuri ila usikubali viku influence kufanya maamuzi, ram na hdd vinaongezeka kirahisi.
2. Usiangalie tu ghz na i3/i5/i7 angalia pia generation gani cpu ipo, mfano hizo laptop ulizotuma hazioneshi generation, mtu a naweza ku tafuta generation ya kwanza ambayo ipo slow kushinda simu then akajaza ram kubwa na hdd kubwa akakuuzia ghali. Kuona Jina LA cpu ili ujue gen nenda my computer kisha right click then properties.
Mkuu kuna CPU za intel zenye herufi kuanzia G1 hadi G7 mwishoni.Hizi herufi huwa zinawakilisha nini?Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa
Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.
Gen ya 10 na 11 ni graphicsMkuu kuna CPU za intel zenye herufi kuanzia G1 hadi G7 mwishoni.Hizi herufi huwa zinawakilisha nini?
Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa
Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.