Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Gen ya 4 ni ya kizamani kidogo ila hii laptop alietuma jamaa ni special case, yenyewe ni variety ya 45W ambayo inatumia umeme mwingi na kutoa perfomance kubwa.

Mfano hii ni benchmark ya hii i7
View attachment 1678806
Na hii ni i7 gen ya 7 mainstream
View attachment 1678807
Na hii i7 gen ya 8
View attachment 1678810

Hivyo unaona kwenye perfomance hii i7 gen ya 4 ni almost perfomance ya gen ya 8, imeipita mbali gen ya 7.

Na sababu inatumia umeme mwingi pia inaweza ku sustain muda mrefu kwenye perfomance kubwa bila kupungua speed, mfano una render video.
Kilichoipa nguvu ni hiyo herufi HQ huko mwisho pamoja na SKU(Model number) ya 710?
 
Kilichoipa nguvu ni hiyo herufi HQ huko mwisho pamoja na SKU(Model number) ya 710?
Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
 
Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
Mkuu ikiwa i3 model numbers huwa zinaanzia 0 hadi 1,i5 model numbers huwa zinaanzia 2 hadi 4 na i7 model numbers huwa zinaanzia 5 hadi 8.Sasa i9 model numbers huwa zinaanzia ngapi hadi ngapi?
 
Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
Ebu icheck

IMG-20210116-WA0025.jpg
IMG-20210116-WA0026.jpg


Au angalie vip hiyo GPU
 
Ndio, zinazoishiwa na HQ zinakuwa na nguvu zaidi huku zikila umeme zaidi. Na namba 7 pia inaashiria ni version ya juu compare na 5 ama 6 zilizopo i7 nyengine.
Mkuu kwema kwa budget ya laki 5 naweza pata laptop aina gani na sifa zake je?
 
Mkuu ikiwa i3 model numbers huwa zinaanzia 0 hadi 1,i5 model numbers huwa zinaanzia 2 hadi 4 na i7 model numbers huwa zinaanzia 5 hadi 8.Sasa i9 model numbers huwa zinaanzia ngapi hadi ngapi?
I9 hazikuwepo zamani zimeanzia gen ya 9, na zinachukua hio namba 9,
 
Mkuu kwema kwa budget ya laki 5 naweza pata laptop aina gani na sifa zake je?
Laki 5 kama unataka mpya unapata tu hizi celeron na pentium ambazo hazina nguvu kivile

Ila ukitafuta used unapata gen ya 6 ama ya 7. Core i5 ambayo itafanya matumizi yote ya kawaida vizuri.
 
Laki 5 kama unataka mpya unapata tu hizi celeron na pentium ambazo hazina nguvu kivile

Ila ukitafuta used unapata gen ya 6 ama ya 7. Core i5 ambayo itafanya matumizi yote ya kawaida vizuri.
Sawa mkuu jana nilienda kufanya window shopping izo used nikakimbia nipo Mwanza

Iyo HP niliambiwa laki 8



Hii Dell et Laki 650


HP laki 6
IMG_20210115_134539_718.jpg
IMG_20210115_135553_008.jpg
IMG_20210115_135722_167.jpg
 
Sawa mkuu jana nilienda kufanya window shopping izo used nikakimbia nipo Mwanza

Iyo HP niliambiwa laki 8



Hii Dell et Laki 650


HP laki 6 View attachment 1678906View attachment 1678908View attachment 1678910
Mkuu kwenye kununua laptop nikupe tips
1. Kuangalia ram na HDD ni vizuri ila usikubali viku influence kufanya maamuzi, ram na hdd vinaongezeka kirahisi.

2. Usiangalie tu ghz na i3/i5/i7 angalia pia generation gani cpu ipo, mfano hizo laptop ulizotuma hazioneshi generation, mtu a naweza ku tafuta generation ya kwanza ambayo ipo slow kushinda simu then akajaza ram kubwa na hdd kubwa akakuuzia ghali. Kuona Jina LA cpu ili ujue gen nenda my computer kisha right click then properties.
 
Sawa Mkuu.

Na kama haina Driver namiss kitu gani?
Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa

Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.
 
Mkuu kwenye kununua laptop nikupe tips
1. Kuangalia ram na HDD ni vizuri ila usikubali viku influence kufanya maamuzi, ram na hdd vinaongezeka kirahisi.

2. Usiangalie tu ghz na i3/i5/i7 angalia pia generation gani cpu ipo, mfano hizo laptop ulizotuma hazioneshi generation, mtu a naweza ku tafuta generation ya kwanza ambayo ipo slow kushinda simu then akajaza ram kubwa na hdd kubwa akakuuzia ghali. Kuona Jina LA cpu ili ujue gen nenda my computer kisha right click then properties.
Thanks mkuu nimekupata ubarikie kwa hii elimu
 
Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa

Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.
Mkuu kuna CPU za intel zenye herufi kuanzia G1 hadi G7 mwishoni.Hizi herufi huwa zinawakilisha nini?
 
Mkuu kuna CPU za intel zenye herufi kuanzia G1 hadi G7 mwishoni.Hizi herufi huwa zinawakilisha nini?
Gen ya 10 na 11 ni graphics

G7 graphics kali zaidi na G1 graphics ndogo zaidi.

Sema hio G1 still ni nzuri kuliko gen zote za nyuma, kama i7 gen ya 9.
 
Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa

Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.
IMG-20210116-WA0036.jpg
IMG-20210116-WA0037.jpg

Hapo vipi?
Unanishauri vipi Mkuu?
 
Back
Top Bottom