Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Mkuu CHIEF MKWAWA kuna hii desktop ya Hp Compaq yenye specifications hizi:
Intel(R) Pentium(R) 4 CPU 3.06 GHz 3.06 GHz, 496 MB of RAM..
Nataka ku_upgrade RAM, je RAM yenye ukubwa gani itafaa na inapatikana vipi na kwa shilingi ngapi..!? Je hiyo processer ipo vizuri..!?
mkuu desktop ni mbaya,

hio hela ya ku upgrade save ununue angalau yenye core 2 duo 3.0ghz kuendelea. zinapatikana madukani around 100,000 hadi 150,000 na mkononi unazipata rahisi zaidi
 
mkuu desktop ni mbaya,

hio hela ya ku upgrade save ununue angalau yenye core 2 duo 3.0ghz kuendelea. zinapatikana madukani around 100,000 hadi 150,000 na mkononi unazipata rahisi zaidi
Nimekuelewa mkuu, ila nataka hii desktop iwe kwa ajili ya kusikiliza miziki na kuangalia muvi, je itafaa Mkuu..!?
 
Nimekuelewa mkuu, ila nataka hii desktop iwe kwa ajili ya kusikiliza miziki na kuangalia muvi, je itafaa Mkuu..!?
yap inafaa,

ram zake ni ddr2 au ddr angalia motherboard kujua na baadhi ya motherboard zinakubali 512mb ram tu hazikubali zaidi.

kama unaweza fungua angalia ram au download cpu z halafu itakuambia aina ya ram

naziona kupatana ddr2 hapa 1gb ni 10,000 angalia una slot ngapi ikiwezekana nunua mbili eka itasaidia kidogo.
 
kwa pc hii naweza cheza game gani ya mpira?
 

Attachments

  • 20170213_113750[1].jpg
    20170213_113750[1].jpg
    303.1 KB · Views: 63
a

asante kwa majibu itabidi niweke low au medium?
itategemea na game na eneo ulipo nk mfano kama upo eneo lenye hewa ya kutosha hio cpu/gpu yako itamaintain turbo kwa muda mrefu na utacheza kwa quality nzuri.

pia hio low na medium zipo za resolution tofauti unaweza ukaeka 720p kwa high au ukaeka 1080p kwa medium etc

cha muhimu ni kujaribu, eka high ukiona linanasa nasa punguza eka medium.
 
Chief vipi kuhusu hii dell inspiron itel (r)pentium(r) dual t3400 @2.16-2.17 ni generation ya ngap na vipi kuhusu uwezo wake katika game na phone repair
Asante kwa kuwa mwalim mzur katika taaluma hii ubarikiwe zaid
 
Kiongozi vipi kuhusu mashine ya Hp yenye processor quad ya 2. 34 GHz Nataka kuitumia kwa ajili ya kufanya editing na kucheza game kubwa tu. Je graphics card ipi itakuwa suitable na mashine yangu?
 
Chief vipi kuhusu hii dell inspiron itel (r)pentium(r) dual t3400 @2.16-2.17 ni generation ya ngap na vipi kuhusu uwezo wake katika game na phone repair
Asante kwa kuwa mwalim mzur katika taaluma hii ubarikiwe zaid
mkuu hio ni kabla ya generation hizi za i3/i5/i7

ni nzuri kwa matumizi ya kawaida na kama unataka kucheza magames inabidi utafute games za zamani ndio zitacheza vizuri
 
Kiongozi vipi kuhusu mashine ya Hp yenye processor quad ya 2. 34 GHz Nataka kuitumia kwa ajili ya kufanya editing na kucheza game kubwa tu. Je graphics card ipi itakuwa suitable na mashine yangu?
mkuu ni quad ipi? core 2 quad au hizi i series? nenda my computer halafu right click chagua properties kuona jina la cpu.
 
mkuu ni quad ipi? core 2 quad au hizi i series? nenda my computer halafu right click chagua properties kuona jina la cpu.
Alafu mkuu naomba mwongozo wa pc nzuri ya kufanyia editing..kutumia .PS ..AI..NA after effect!!

Na pc ambayo ni nzuri kwa games za kisasa!!

Iwe laptop au desktop
 
Back
Top Bottom