chuxxe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 601
- 370
Mkuu mzigo nimeupata nowView attachment 1891770
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuu, upo vizuri sana.Mkuu mzigo nimeupata nowView attachment 1891770View attachment 1891771
Yeah inatoa picha quality sana mkuu sijawahi ona pia nime google wanasema hizi zinatoa 1080p+Hongera mkuu, upo vizuri sana.
ni 1080p, hio plus inakuja kwenye upana, sababu ni wide monitor. so unapocheza game ama kuangalia video utaletewa 1080p.Yeah inatoa picha quality sana mkuu sijawahi ona pia nime google wanasema hizi zinatoa 1080p+
Kupata monitor kali kipengere sana au inaweza kukudondokea kama bahati tu. Unayokuta ina quality nzuri upande wa shape chenga. Unakuta shape vyema ila quality mbovu.ni 1080p, hio plus inakuja kwenye upana, sababu ni wide monitor. so unapocheza game ama kuangalia video utaletewa 1080p.
hio monitor wakati inatoKA ilikuwa inauzwa milioni mbili na upuuzi sijui jamaa aliitoa wapi.
Yeah ila kama hii yangu inajitahid sana hata shape so mbya san pia inatoa picha kariKupata monitor kali kipengere sana au inaweza kukudondokea kama bahati tu. Unayokuta ina quality nzuri upande wa shape chenga. Unakuta shape vyema ila quality mbovu.
Duh! Million mbili palefu asee mkuuni 1080p, hio plus inakuja kwenye upana, sababu ni wide monitor. so unapocheza game ama kuangalia video utaletewa 1080p.
hio monitor wakati inatoKA ilikuwa inauzwa milioni mbili na upuuzi sijui jamaa aliitoa wapi.
Hyo ni Ultra wide?Yeah ila kama hii yangu inajitahid sana hata shape so mbya san pia inatoa picha kari
Ni wide-screen tu so ultraHyo ni Ultra wide?
Cut scene ni video kama video nyengine, zinatokea pembeni sio? Kama game halipo optimized hazitoki. Unless kuwe na patch somewhere.Wakuu mnaweza nisaidia kutoa black bar kwenye widescreen ila inatokea kwenye zile cut scene tu nikiwa nacheza kawaida hakuna black bar
haina issue mkuu, ipo slow sanaupande wa performance inafaa nataka kuchukua kwa mtu 500k.View attachment 1931770
Sent from my M2010J19SG using JamiiForums mobile app
Mkuu, nje ya mada kidogo. Kuna siku nilikuuliza kuhusu Myus- shop & ship, je kama mtu upo nje ya Dar, mzigo unapataje...!?haina issue mkuu, ipo slow sana
Dah sifahamu mkuu, ila ni suala ambalo unatakiwa uwasiliane nao wenyewe.Mkuu, nje ya mada kidogo. Kuna siku nilikuuliza kuhusu Myus- shop & ship, je kama mtu upo nje ya Dar, mzigo unapataje...!?
mkuu msaada kidogo , nitoe tongotongo kwenye hii i5-7Y57 CPU @ 1.20GHz 1.61 GHzDah sifahamu mkuu, ila ni suala ambalo unatakiwa uwasiliane nao wenyewe.