Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Hii ni generation ya 10, upande wa cpu ipo vizuri sana ulaji umeme kidogo na perfomance ni nzuri, ila upande wa graphics ni ya kawaida hutaweza kurun vitu vizito vya graphics kama games za kisasa ama kurender 3D kwa ufanisi. Kama ina gpu ya Nje kama Nvidia Mx series inakua vizuri zaidi.
Shukrani sana kwa mrejesho.
 
Naomba kufahamishwa na Mimi pia Kwa specs hizi
Intel(R)core(TM)i7-4600U CPU @2.10GHz 2.70GHz
Ram 8gb

Chief-Mkwawa
Hii mkuu inayo uwezo mkubwa ilani 4 the generation..kwenye ipo viziri ila ... Haina graphics card ya kuendesha geming kubwa kubwa kwa INA hwezo was kawaida
Ila processor ya inatumia umeme mwingi sana

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ni Pc nzuri Kwa Tshs 1,300,000. Kwa games itafaa? Ni Lenovo. CHIEF MKWAWA
Screenshot_2024-01-10-09-38-55-959_com.android.chrome.jpg
 
Mkuu ni Pc nzuri Kwa Tshs 1,300,000. Kwa games itafaa? Ni Lenovo. CHIEF MKWAWA
View attachment 2868677
Kwa 1.3M sio mbaya mkuu na game utaclheza ila haijakua designed kama gaming machine, game za kisasa kama Cyberpunk utacheza kwa quality ndogo mno. Ila games zetu za kibongo bongo GTA, Fifa etc utacheza bila tatizo.

Kama unapata yenye gpu hata kama ndogo mx550 ama rx 6400 itakua bomba zaidi.
 
Kwa 1.3M sio mbaya mkuu na game utaclheza ila haijakua designed kama gaming machine, game za kisasa kama Cyberpunk utacheza kwa quality ndogo mno. Ila games zetu za kibongo bongo GTA, Fifa etc utacheza bila tatizo.

Kama unapata yenye gpu hata kama ndogo mx550 ama rx 6400 itakua bomba zaidi.
Shukrani Mkuu
 
Samahani Chief-Mkwawa ile pc yangu hp 250 g7 Core i3 1005g1 niliitolea hdd nikaweka SSD 1TB na pia niliitolea Ram ya 4 nikaweka 16 Ram kiukweli ikawa inapiga kazi vzuri ambapo niliipiga na window 11 . Shida ilianza nilipo install hiyo Ram ya 16 sometime nikiiwasha inaniletea black screen ila baadae inaendelea kupiga kazi.

Shida nyingine niki install adobe premier pro ndio kabisaaaa ina stack vipi kuna option nyingine ya adobe premiere?
 
Samahani Chief-Mkwawa ile pc yangu hp 250 g7 Core i3 1005g1 niliitolea hdd nikaweka SSD 1TB na pia niliitolea Ram ya 4 nikaweka 16 Ram kiukweli ikawa inapiga kazi vzuri ambapo niliipiga na window 11 . Shida ilianza nilipo install hiyo Ram ya 16 sometime nikiiwasha inaniletea black screen ila baadae inaendelea kupiga kazi.

Shida nyingine niki install adobe premier pro ndio kabisaaaa ina stack vipi kuna option nyingine ya adobe premiere?
Hio ram ulioweka ni single 16GB ama ni ram 2, je zinafanana? Kwa. Maana speed, capacity na aina?

Latest premier official cpu yako ipo supported, weka tu on hardware acceleration ya Quicksync ili kuboost speed wakati wa ku render.

Unaweza ukafungua task manager kwenye resource uangalie ram ni aina gani ama kwenye bios pia itakuonesha.
 
Hio ram ulioweka ni single 16GB ama ni ram 2, je zinafanana? Kwa. Maana speed, capacity na aina?

Latest premier official cpu yako ipo supported, weka tu on hardware acceleration ya Quicksync ili kuboost speed wakati wa ku render.

Unaweza ukafungua task manager kwenye resource uangalie ram ni aina gani ama kwenye bios pia itakuonesha.
Ipo single GB 16
 
Ipo single GB 16
Ilikua mpya? Kwanini hujaieka na ram ya mwanzo pamoja?

Ku troubleshoot tumia ram ya zamani kufanya hizo task kama haicrash ina maana ram mpya ina tatizo

Pia jaribu kurun kwenye dual chanell, weka ram ya zamani na mpya pamoja,
 
Ilikua mpya? Kwanini hujaieka na ram ya mwanzo pamoja?

Ku troubleshoot tumia ram ya zamani kufanya hizo task kama haicrash ina maana ram mpya ina tatizo

Pia jaribu kurun kwenye dual chanell, weka ram ya zamani na mpya pamoja,
Ram ya zamani sijui ilikuwa na shida gani mkuu, eti nikiiweka inaniletea Black screen nikawa nimeagiza Ram nyingine AliExpress ya 4gb ili niziweke pamoja tena ikaendelea hivyo hivyo nikaitoa ile Ram ya zamani Black screen ikaendelea. Ilibidi tu niitoe niweke mpya nikaona pc imeacha kuniletea Black screen, Baada ya mda ndio nikaagiza hiyo 16 Gb
 
Ram ya zamani sijui ilikuwa na shida gani mkuu, eti nikiiweka inaniletea Black screen nikawa nimeagiza Ram nyingine AliExpress ya 4gb ili niziweke pamoja tena ikaendelea hivyo hivyo nikaitoa ile Ram ya zamani Black screen ikaendelea. Ilibidi tu niitoe niweke mpya nikaona pc imeacha kuniletea Black screen, Baada ya mda ndio nikaagiza hiyo 16 Gb
Still inaweza kuwa ram issue mkuu, endelea kufanya trial, mfano hio ya 16GB iweke slot nyengine, pia ukipata ram nyengine jaribu inAweza kuwa hio 16GB nayo ina matatizo, AliExpress vitu vingine sio vipya.
 
Chief mkwa
Habari Nina Laptop Aina YA HP elitebook 2560p
Imeunguwa mathaboard Maji yaliingia upande w keyboard je naweza para Wapi mathaboard yake kw apa bongo nipo Moro
 
Chief mkwa
Habari Nina Laptop Aina YA HP elitebook 2560p
Imeunguwa mathaboard Maji yaliingia upande w keyboard je naweza para Wapi mathaboard yake kw apa bongo nipo Moro
Aliexpress naziona $60, kwa hapa Bongo sehemu zenye spea kama hizi ni Machinga complex na Kariakoo Likoma
 
Back
Top Bottom