Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Mangungu amechaguliwa na wanachama kwenye mkutano mkuu wa klabu. Unataka ajiuzulu kwa sababu gani? Ungeziorodhesha hizo sababu ili tuzipime na kuona kama zina mashiko, au la.
Wewe nawe na huyo Mangungu mbona unamtetea sana au una siri kwamba akiendelea kuwepo hapo Simba itaendelea kufanya vibaya na hivyo kwako ww ni jambo la kukufurahisha sana si ndio?
 
Wewe nawe na huyo Mangungu mbona unamtetea sana au una siri kwamba akiendelea kuwepo hapo Simba itaendelea kufanya vibaya na hivyo kwako ww ni jambo la kukufurahisha sana si ndio?
Hapana mtani. Mimi najaribu tu kusimama kwenye haki. Mtuambie kosa la Mangungu ni lipi mpaka kufikia hatua ya kushinikizwa kujiuzulu na baadhi ya mashabiki!

Kumbuka Mangungu ni Mwenyekiti wa klabu aliyechaguliwa na wanachama! Kwa hiyo wanachama ndiyo wenye haki ya kumuondoa, tena kupitia mkutano ule ule uliomchagua. Au labda katiba ya timu yako iko tofauti na katiba nyingine?
 
Hapana mtani. Mimi najaribu tu kusimama kwenye haki. Mtuambie kosa la Mangungu ni lipi mpaka kufikia hatua ya kushinikizwa kujiuzulu na baadhi ya mashabiki!

Kumbuka Mangungu ni Mwenyekiti wa klabu aliyechaguliwa na wanachama! Kwa hiyo wanachama ndiyo wenye haki ya kumuondoa, tena kupitia mkutano ule ule uliomchagua. Au labda katiba ya timu yako iko tofauti na katiba nyingine?
Simple la kumwambia ajiuzulu ni kutekeleza kanuni tuuh za uongozi bora ,moja ya kanuni hizo hizo ni uwajibikaji na KUJIUZULU ni sehemu ya uwajibikaji.
Kama mnampa kichwa atapasuka uyo hana jipya pale simba zaidi ya ahadi za uongo na zakitoto
Asidhani anaongoza familia yake .EBOOOOOH!!!!?
 
Hapana mtani. Mimi najaribu tu kusimama kwenye haki. Mtuambie kosa la Mangungu ni lipi mpaka kufikia hatua ya kushinikizwa kujiuzulu na baadhi ya mashabiki!

Kumbuka Mangungu ni Mwenyekiti wa klabu aliyechaguliwa na wanachama! Kwa hiyo wanachama ndiyo wenye haki ya kumuondoa, tena kupitia mkutano ule ule uliomchagua. Au labda katiba ya timu yako iko tofauti na katiba nyingine?
Dhana ya uwajibikaji!Kama alikuwa sehemu ya uongozi hata kama alikuwa anafua jezi klabuni anapaswa kuachia nafasi.Tukijizoesha kuwajibika pale taasisi iliyo chini Yako inpofanya vibaya nafikiri hata mawaziri wataanza kujiudhulu mwisho atamalizia anayewachagua.
 
Simple la kumwambia ajiuzulu ni kutekeleza kanuni tuuh za uongozi bora ,moja ya kanuni hizo hizo ni uwajibikaji na KUJIUZULU ni sehemu ya uwajibikaji.
Kama mnampa kichwa atapasuka uyo hana jipya pale simba zaidi ya ahadi za uongo na zakitoto
Asidhani anaongoza familia yake .EBOOOOOH!!!!?
Huyu mlimrudisha tena wakati simba tayari inafanya vibaya, hamkuliona hilo kwmba hana jipya? Yaani mumchague wenywe siku mbili mtake ajiuzulu, mpo timamu kweli?
 
Simple la kumwambia ajiuzulu ni kutekeleza kanuni tuuh za uongozi bora ,moja ya kanuni hizo hizo ni uwajibikaji na KUJIUZULU ni sehemu ya uwajibikaji.
Kama mnampa kichwa atapasuka uyo hana jipya pale simba zaidi ya ahadi za uongo na zakitoto
Asidhani anaongoza familia yake .EBOOOOOH!!!!?
Sasa si mlimchagua nyinyi wenyewe! Mnatakiwa msubiri kipindi chake kiishe, ili muweze kumchagua mwenyekiti mwingine kupitia sanduku la kura.
 
Hapana mtani. Mimi najaribu tu kusimama kwenye haki. Mtuambie kosa la Mangungu ni lipi mpaka kufikia hatua ya kushinikizwa kujiuzulu na baadhi ya mashabiki!

Kumbuka Mangungu ni Mwenyekiti wa klabu aliyechaguliwa na wanachama! Kwa hiyo wanachama ndiyo wenye haki ya kumuondoa, tena kupitia mkutano ule ule uliomchagua. Au labda katiba ya timu yako iko tofauti na katiba nyingine?
Huwa kuna mapinduzi kwny uongozi wowote duniani..kama huyo aliechaguliwa ataonekana hafai kwa waliomchagua au kuna tetesi zozote za uasi atafanyiwa kauzibe mpka aachie madaraka...sasa wana simba waliomchagua ndo hawamtaki na wameona hawafai shida iko wapi..
 
Dhana ya uwajibikaji!Kama alikuwa sehemu ya uongozi hata kama alikuwa anafua jezi klabuni anapaswa kuachia nafasi.Tukijizoesha kuwajibika pale taasisi iliyo chini Yako inpofanya vibaya nafikiri hata mawaziri wataanza kujiudhulu mwisho atamalizia anayewachagua.
Mangungu amechaguliwa na wanachama. Kwa hiyo kama hatoshi, wa kulaumiwa ni wale waliomchagua. Hata ningekuwa mimi, nisingejiuzulu mpaka kipindi cha uongozi wangu kifikie tamati.
 
Huyu mlimrudisha tena wakati simba tayari inafanya vibaya, hamkuliona hilo kwmba hana jipya? Yaani mumchague wenywe siku mbili mtake ajiuzulu, mpo timamu kweli?
Hapa hatuongelei utimamu au kutokua utimamu
Unahakika tulimchagua?
Chaguzi ngapi hata nje ya mpira zinaendeshwa kwa rushwa?!
Mimi binafsi sikumchagua ..
 
Kwani mangungu anachangiaje simba kufanya vibaya? Dondosheni sababu za kutosha basi tujue
Nadhani wana Yanga ndo watakua wana agenda yao ya msingi kutaka mangungu abakie kwa sbb haiwezekani wana simba hawamtaki mtu ambae wao wanamjua wanafanya nae kazi wanajua ameharibu wapi na madhaifu yake ni yapi..halafu nyie mje kumtetea na kumshikia kidete kuwa hana kosa na mambo mengine kama hayo...kuhusu sbb za msingi nadhani mtafute mwana simba anaeshinda hapo clabuni msimbazi umuulizie atakupa jibu..
 
Huwa kuna mapinduzi kwny uongozi wowote duniani..kama huyo aliechaguliwa ataonekana hafai kwa waliomchagua au kuna tetesi zozote za uasi atafanyiwa kauzibe mpka aachie madaraka...sasa wana simba waliomchagua ndo hawamtaki na wameona hawafai shida iko wapi..
Mimi naona hizi ni hujuma tu anazofanyiwa Mwenyekiti Mangungu na wapinzani wake. Mapinduzi ya kuuondoa uongozi halali wa kuchaguliwa, ni haram kwa uelewa wangu.
 
Tafadhali aliye Jirani nae amwambie kuwa aachie Ngazi Simba SC kwani GENTAMYCINE huwa Sibahatishi kwa Taarifa.
Wengi mnamsoma Murtaza kwenye media tu hamujuhi, huyo Murtaza nyumbani kwao ni Kitumbini mtaa wa Libya uhindini kabisa.

Hakuna mshamba yeyote wa kuja wa kumbabaisha Murtaza, Eng Hersi mtoto wa Kariakoo, Murtaza mtoto wa Libya street, kwakifupi hizo timu sasa hivi zinaongozwa na watoto wa mjini na Murtaza anao uwezo wa kupata pesa za kusajili, siandiki porojo namjuwa vizuri Murtaza kuliko wakuja wengi wanavyomchukulia.
 
Back
Top Bottom