Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Mangungu amechaguliwa na wanachama. Kwa hiyo kama hatoshi, wa kulaumiwa ni wale waliomchagua. Hata ningekuwa mimi, nisingejiuzulu mpaka kipindi cha uongozi wangu kifikie tamati.
Mkuu wewe umebeba dhana Yako iliyojaa furaha na matumaini,Mimi nimechangia katika Uhalisia.Wanachama walimchagua hili timu ifanye vibaya au vizuri?Kama timu inafanya vibaya hao wanachama wanatafurahi?Sasa anasubiri uchaguzi hili afurushwe.
 
Wengi mnamsoma Murtaza kwenye media tu hamujuhi, huyo Murtaza nyumbani kwao ni Kitumbini mtaa wa Libya uhindini kabisa.

Hakuna mshamba yeyote wa kuja wa kumbabaisha Murtaza, Eng Hersi mtoto wa Kariakoo, Murtaza mtoto wa Libya street, kwakifupi hizo timu sasa hivi zinaongozwa na watoto wa mjini na Murtaza anao uwezo wa kupata pesa za kusajili, siandiki porojo namjuwa vizuri Murtaza kuliko wakuja wengi wanavyomchukulia.
HATAKIWI PALE MSIMBAZI
Aende hata kuichukua biashara united
 
Mkuu wewe umebeba dhana Yako iliyojaa furaha na matumaini,Mimi nimechangia katika Uhalisia.Wanachama walimchagua hili timu ifanye vibaya au vizuri?Kama timu inafanya vibaya hao wanachama wanatafurahi?
Basi wanachama kama kweli mnamuona Mwenyekiti wenu hatoshi, si mhamasishane ili uitishwe mkutano mkuu wa klabu kwa lengo la kumpa nafasi ya kujitetea.

Na ikibainika ana makosa, ndiyo utaratibu sahihi wa kumuondoa ufuate. Ila siyo kwa kumshinikiza kupitia mitandao ya kijamii.
 
Njia pekee ya kumwondoa Mangungu ilikuwa kipindi anagombea Mara ya pili lakini Kama alichaguliwa aachwe amalize muda wake labda akili itawajia wakati mwingine kufanya maamuzi sahihi.
 
Simba sasa imeimarika wanacheza tacticalfootbal inapendeza sana wanaelewana mno ukizingatia hata pale inapowakosa Nyota wake muhimu kina Chama na henock lakini Bado timu pinzani zinateseka.
Safu ya kiungo imefanya makubwa hasa msimu huu kina Ngoma mzmiru punda huyu, balua.


Safu ya umaliziaji kina jobe, fredy na kibul alooh , nadhan hata usajili is not necessary.
 
Waliomchagua ndio hawamtaki sasa
Kama mnataka kumtoa itisheni mkutano mkuu maalum then muorodheshe makosa yake yakiwa na mashiko mpige kura ya kutokuwa imani nae, nje ya hapo Mangungu hatoki sisi kama Yanga bado tunamuhitaji hapo ili kukamilisha malengo ya ubingwa wa back to back miaka 10.
 
Kama mnataka kumtoa itisheni mkutano mkuu maalum then muorodheshe makosa yake yakiwa na mashiko mpige kura ya kutokuwa imani nae, nje ya hapo Mangungu hatoki sisi kama Yanga bado tunamuhitaji hapo ili kukamilisha malengo ya ubingwa wa back to back miaka 10.
Kigezo Cha kutotoka ni kipi
 
Wewe nawe na huyo Mangungu mbona unamtetea sana au una siri kwamba akiendelea kuwepo hapo Simba itaendelea kufanya vibaya na hivyo kwako ww ni jambo la kukufurahisha sana si ndio?
Baby wangu, wanamng'ang'ania sana huyu mtu abaki sjui kwanini..
 
Kama mnataka kumtoa itisheni mkutano mkuu maalum then muorodheshe makosa yake yakiwa na mashiko mpige kura ya kutokuwa imani nae, nje ya hapo Mangungu hatoki sisi kama Yanga bado tunamuhitaji hapo ili kukamilisha malengo ya ubingwa wa back to back miaka 10.
Alaah! Kumbe yanga ndio mmemweka mangungu ili mfanye hujuma kupitia yeye sio..kwaio hata mafanikio yenu ni ya kimagumashi
 
Hako kazee staki hata kuona picha zake,yaani kanang'ang'ania hapo simba sijui kana maslahi gani,aondoke akafanye kaz zingne uenyekiti umemshinda!
 
Haram ni nguruwe tuu shekhe...
Ndugu zetu Simba wamepoteana , Simba ilisha kaa toka 2013 impala 2017 miaka mitano bila ubingwa na Mangungu hakuwepo kwaiyo Mangungu si sababu.

Kitu kingine baadhinya mashabiki wanacho kosea ni kufikiri ni rahisi kumuondoa Mangungu bila ridhaa yake.
Mangungu amechaguliwa na mkutano mkuu na ataondolewa na mkutano mkuu bahati mbaya uongozi wake ndio wenye mamlaka kikatiba ku uitisha.

Kule Tff wala baraza la michezo ata wizarani hakuna anaye tanbua bodi ya Simba inayo ongeza na mwekezaji kwakua Transformation bado haijakamilika na kisheria hakuna mamlaka inayo mtambua MO wala wajumbe wake wa bodi kwakua mchakato wao wa mabadiliko hautambuliki popote kisheria.

MO anatanbulika kama mdhamini tu pale Simba kama walivyo Aluminiam, M bet au NBC kwakua kwenye jezi za Simba ana matangazo yake ambayo anayalipia.
Mangungu abembelezwe bila hivyo baadhi ya watu watatumia nguvu na kujikuta Lupango
 
Back
Top Bottom