MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Kama umelipwa /ndo wewe mwenyeweMimi naona hizi ni hujuma tu anazofanyiwa Mwenyekiti Mangungu na wapinzani wake. Mapinduzi ya kuuondoa uongozi halali wa kuchaguliwa, ni haram kwa uelewa wangu.
HATUMTAKI MANGUNGU/HATUKUTAKI MANGUNGU.full stop.