Kwani huyu jamaa aliyepotea ndiyo yule mfanyabiashara aliyekua anailalamikia TRA kuhusu documents zake ili alipwe na Bima!!??Jitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka nini
Hawa jamaa bila kujijua wameingiza mdudu kwenye kazi zao zisizo za kiharali na wanatekwa nahis wahusika wapo kaziniNdugu MUSA VENERABLE MZ1BA Mfanyabishara mwenye Umri wa Miaka 37 anae miliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd AMECHUKULIWA NA WATU WASIOJULIKANA TAR: 07 DISEMBA mida Ya Saa 2 Usiku, akiwa Maeneo ya Ofisini Kwake Mikocheni.
Familia Inaomba sana Msaada Kwa Jeshi La polisi @policetanzania Kuwasaidia Kufanikisha Kumpata Ndugu/jamaa/Baba Yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye Taarifa yoyote Tafadhali wasiliana kwa Namba: 0713437374 Au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.
@policetanzania @ikulumawasiliano
View attachment 2842686View attachment 2842687
Kuna kitu hapa, watakuwa wametapeliana tu, wafanyabiashara wa Tanzania ni magumashi sana. Always kunakuwa na kitu nyuma ya pazia kwenye biashara zao. Utakuta mtu anauza unga anajifanya ana baishara ya clearing and forwarding au ana baa.Ndugu MUSA VENERABLE MZ1BA Mfanyabishara mwenye Umri wa Miaka 37 anae miliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd AMECHUKULIWA NA WATU WASIOJULIKANA TAR: 07 DISEMBA mida Ya Saa 2 Usiku, akiwa Maeneo ya Ofisini Kwake Mikocheni.
Familia Inaomba sana Msaada Kwa Jeshi La polisi @policetanzania Kuwasaidia Kufanikisha Kumpata Ndugu/jamaa/Baba Yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye Taarifa yoyote Tafadhali wasiliana kwa Namba: 0713437374 Au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.
@policetanzania @ikulumawasiliano
View attachment 2842686View attachment 2842687
Yes ,malalamiko sio alipwe na BIMA, ila BIMA wapo tayari kumlipa ,tatizo documents za TRA doesn't ADD UP, zimetengenezwa nje ya mfumo rasmi wa TRA!,tukumbuke ile issue ya pale Mbeya kuhusiana na mifumo fake ya ulipajiKwani huyu jamaa aliyepotea ndiyo yule mfanyabiashara aliyekua anailalamikia TRA kuhusu documents zake ili alipwe na Bima!!??
Huyo sidhani kama anauza unga kwasababu siyo jamii yakina adrizKuna kitu hapa, watakuwa wametapeliana tu, wafanyabiashara wa Tanzania ni magumashi sana. Always kunakuwa na kitu nyuma ya pazia kwenye biashara zao. Utakuta mtu anauza unga anajifanya ana baishara ya clearing and forwarding au ana baa.
Sawa, basi watakuwa wamedhulumiana tu kwa vitu vingine ama wanamuonea wivu kijana mwenzao.Huyo sidhani kama anauza unga kwasababu siyo jamii yakina adriz
Shauri tufanyeje tusiwe manyumbu.Wananchi tumekuwa kama nyumbu ndani ya Manyara. Ukilala leo hujui kwesho litampata nani na raia tunaona kama ni kawaida tu. Kweli ujinga ni janga.
Je, Ni huyu mwamba kwenye hii link!?👇No mkuu huyu ni wale wazalendo ambao awamu iliyopita angesikilizwa na kuupata ukweli, huyu ni whistle-blower for now hadi TRA waje na story kuhusu hili kwa upande wao, for now TRA wanajua huyu mzalendo yupo wapi
Endapo Kama kweli huyo aliyetekwa ndio huyu kwenye video basi ndugu zake wasahau, kwa sababu kaharibu sana ugali wa watu. Kwa nchi ya Tanzania na Afrika yote kwa ujumla, huwezi kuwa mkweli na muwazi namna hii halafu uendelee kubaki salama, hii haiwezekani, that's why in our country there are so many "snakes in suits."
Ndiyo huyu mbona hafanani na aliye kwenye picha
Ni tofauti kabisaa...Ndiyo huyu mbona hafanani na aliye kwenye picha
Ova
Duh TRA!Nimebahatika kuona clip ya mzalendo huyu kuhusiana na TRA, sio rocket science, huyu mzalendo ametekwa na TRA, na mbaya zaidi awamu hii nayo hii itakua cold case kama ya yule mzazi aliyefiwa na binti yake pale Lindi shuleni, TRA hasa HQ kuna mtu/watu wanajua mzalendo huyu yupo wapi
5. Je, hiyo ofisi yake haina cctv camera?1. Kampuni yake inajihusisha na shughuli gani hasa?
2. Hao watu waliokuja kumchukua walijitambulishaje? Walidai wanatoka wapi au Ofisi gani? Walipomchukua watu hao walidai wanampeleka wapi na kwa sababu zipi?
3. Wakati alipochukuliwa, Je, kulikuwa na mtu au watu wengine wowote hapo Ofisini kwake alipokuwa?
4.Je, nyinyi wanandugu mmeshajaribu kutumia "intelijesia yenu binafsi" kuwafuatilia na kuwapeleleza kwa siri marafiki zake wa karibu aliokuwa nao nyakati za mwisho kabla ndugu yenu hajachukuliwa na hao watu wasiojulikana??
Mkuu usipre-empt hatima yake, ni mapema mno bali tupaze sauti zetu kwa ummoja wetu humu ndani ili apatikane akiwa hai! Maana leo ni yeye kesho itakuwa wewe!Exactly mkuu,but police wa wapi hawa?,hadi leo nchi haina DNA lab kwa ajili ya kusaidia hizi case, why police wategemee ofisi ya mkemia wa taifa?,mkuu hii ni cold case na nasikitika mno kwa familia yake, itakua Sawa na Mr.Saanane, Mr.Azory,families, ehe Mwenyezi Mungu wape closure hizi families zilizopotelewa na wapendwa wao
Kama hoja yako ni ya kweli, basi yafaa utaratibu wa kisheria wa ukamataji (arrest) ungefuatwa, lakini siyo kufanya utekaji-nyara (abduction) ambao huzua taharuki kubwa sana ktk jamii, pamoja na kuwafanya wananchi kuendelea kupoteza Imani dhidi ya Serikali.Subiri chain ya unga itajwe week hii, asipokuwepo basi ndio mumtafute.
Hadi sasa, Taskforce wanamajibu ya kila kitu. Yupo sehemu salama