Duh! Mkuu tupaze sauti apatikane, tusihalalishe kupotea kwake kupitia jukwaa hili. Kwa umoja wetu tupaze sauti apatikane akiwa hai!!! #Free Mziba#Endapo Kama kweli huyo aliyetekwa ndio huyu kwenye video basi ndugu zake wasahau, kwa sababu kaharibu sana ugali wa watu. Kwa nchi ya Tanzania na Afrika yote kwa ujumla, huwezi kuwa mkweli na muwazi namna hii halafu uendelee kubaki salama, hii haiwezekani, that's why in our country there are so many "snakes in suits."
Una maana gani? Elaborate please.Tanzania inaonekana hao watekaji wanakua na vitambulisho vyote asipopatikana na hao watekaji nao wanaanza kumtafuta...
Hiyo kampuni inahusika na nini???? Maana vijana wangi wanaanzisha kampuni kama za mr kuku, ukitapeli hela ya mharifu ndiyo hivyoWananchi tumekuwa kama nyumbu ndani ya Manyara. Ukilala leo hujui kwesho litampata nani na raia tunaona kama ni kawaida tu. Kweli ujinga ni janga.
Upo sahihi kabisa mkuu, nilitegemea TRA nao wangetoa tamko lako kuhusiana na issue hii, wanapokaa kimya wanaacha vacuum ambao inajazwa na ukweli au uongoMkuu usipre-empt hatima yake, ni mapema mno bali tupaze sauti zetu kwa ummoja wetu humu ndani ili apatikane akiwa hai! Maana leo ni yeye kesho itakuwa wewe!
#Free Mziba#Upo sahihi kabisa mkuu, nilitegemea TRA nao wangetoa tamko lako kuhusiana na issue hii, wanapokaa kimya wanaacha vacuum ambao inajazwa na ukweli au uongo
Nchi inapitia gizani tangu uteuzi wa kijana yule.Ndugu MUSA VENERABLE MZIBA mfanyabishara mwenye umri wa miaka 37 anaemiliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd amechukuliwa na watu wasiojulikana Tar: 07 Desemba mida ya Saa 2 Usiku, akiwa maeneo ya ofisini kwake Mikocheni.
Familia Inaomba sana Msaada kwa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasaidia kufanikisha kumpata ndugu/jamaa/baba yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye taarifa yoyote tafadhali wasiliana kwa namba: 0713437374 au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.
View attachment 2842686View attachment 2842687
Nmeuliza hilo swali humu lakini mpaka sasa sijapata majibu?Hiyo kampuni inahusika na nini???? Maana vijana wangi wanaanzisha kampuni kama za mr kuku, ukitapeli hela ya mharifu ndiyo hivyo
π€£π€£π€£π€£ Aisee kweli hamnitakii mema jamani but why.Wake za watu hao wamemponza. Yupo humu JF kwa I'd ya mzabzab inayojisifu kwa kutembea na wake za watu na kuwaambukoza UKIMWI kwa Makusudi hapa Jijini Dar. Sasa jamaa wamemteka na wanamfumua Marinda sasa na ndio maana ID hiyo haipo active huki JF. πππππ
Na inawezekana kajiteka ili apotee na mabilioni ya watejaNmeuliza hilo swali humu lakini mpaka sasa sijapata majibu?
Inawezekana basi hata ndg wa aliyetekwq hawajui kampuni ya ndg yao ilikuwa inashugulika na nini
Ova
Hahaaaaa tunakutakia Mema bro, nikajua wajuba wamekufanyia yao.πππππππππππππππ€£π€£π€£π€£ Aisee kweli hamnitakii mema jamani but why.
Hawawezi nipata maana nipo makiniHahaaaaa tunakutakia Mema bro, nikajua wajuba wamekufanyia yao.ππππππππππππππ
Ni mgalatia hausiki na unga iyo fani ni kina adriz na Accumen MoSubiri chain ya unga itajwe week hii, asipokuwepo basi ndio mumtafute.
Hadi sasa, Taskforce wanamajibu ya kila kitu. Yupo sehemu salama
Sasa hayo madafu unayo nani atahangaika.Hawawezi nipata maana nipo makini
π€£π€£π€£π€£Ni mgalatia hausiki na unga iyo fani ni kina adriz na Accumen Mo
Ramadhani Ntunzwe Mzalendo Mfanyabiashara alililamika kesi kama hii pale Ikulu kwa JPm na Kesi yake ilisimamiwa na PM Majaliwa, RC Makonda na Katibu MKuu kwenye korido za Ikulu na hakuna kilichofanyika.No mkuu huyu ni wale wazalendo ambao awamu iliyopita angesikilizwa na kuupata ukweli, huyu ni whistle-blower for now hadi TRA waje na story kuhusu hili kwa upande wao, for now TRA wanajua huyu mzalendo yupo wapi
Pohamba achana naye ni wale wale watekaji.Ndani ya katiba kuna ulinzi na usalama, inawezekana kwa sasa hauwezi kulazimisha kampuni za simu kukagua mawasiliano kati yake na wengine.