Musa Venerable Mziba hajapatikana. Polisi waombwa msaada

Mungu atusaidie mkuu, I rest my case mkuu wangu
 
Si mnaamani mnasema Congo huo upuzi tushausau usalama wa taifa huku ni watu wa kawaida Labda jeshi
 
jinsi unavyoongea inaonyesha kama unahusika na hili swala. Kwanini sasa kama unataarifa usipeleke polisi? Toka lini hawa wazee wa kodi wanawateka watu taaluma hiyo waitolee wapi? na sababu ni ipi hasa wafanye hivo? acha kupotosha ndugu yangu je unauhakika gani kama ananyumba ndogo? je unauhakika gani kama alikuwa na uhasama na mfanyabiashara/wafanyabishara wenzie? j unauhakika gani ni issue ya kifamilia?je yeye ni wa kwanza kuwasema tra ? mbona wapo wengi tu wanawasema na hatujasikia lolote? ndiyo mimi tra siwamind ila tusiwasingizie maana hakuna ushahidi wa kusema ni wao.Mbona yule mama mnene mweupe aliwasema vibaya mno na yupo nilitegemea basi na yeye angepotea. Acha kukurupuka wapo polisi wataalamu wa kufatilia tuwache wafanye kazi yao
 
Watu wameuliza humu!huyo jamaa

Alikuwa anajishugulisha na biashara

Hakuna majibuuu

Ova
 
Blah blah, police gani hao niwapelekee taarifa?,hadi leo police wako wameshindwa kunipa taarifa nani alihusika kwa kumpiga risasi dada Akwilina na kumuua, viroba vya maiti pale CoCo beach, Azory Gwanda, ajali ya Mtikila, etc etc, elewa ni wajibu wa police kisheria kulinda raia, sasa ninapoona kwa makusudi mazima wao wanalinda royal families tu na kuwaacha poor of the poorest, nawachukia mno, na elewa cases zingine na wao ni suspects, ndio maana ninahitaji katiba mpya itakayounda chombo mbadala cha kuchunguza cases zote ambazo police ni suspects (IPID),endelea kuzika kichwa chako mchanganyi na kujifanya hujui kinachotokea kwa neighbor wako
 
sasa kama wameshindwa kukupa taarifa za marehemu dada yetu Akilina ( Mungu amlaze pahala pema peponi) na za huyu jamaa unasema ni tra siuwapelekee maana tayari unao ushahidi au tafuta mwanasheria mfungue kesi ya madai kama polisi unaona hawaaminiki.
 
Upo sahihi kabisa mkuu, nilitegemea TRA nao wangetoa tamko lako kuhusiana na issue hii, wanapokaa kimya wanaacha vacuum ambao inajazwa na ukweli au uongo
sasa mtu kama yupo nyumba ndogo unataka TRA waje waseme nini? kwani umeambiwa au unao ushahidi ni tra ndiyo wamefanya haya? swala la kupotea kwa mtu anayeweza kulizungumzia ni polisi ndiyo kazi yao tra wao ni maswala ya kodi tusichanganye kazi za taasisi mbili tofauti. kwani kuisema tra ndiyo mnaamini kilichofanya apotee? mmejaribu fikiria anamadeni, katapeli, anamwanamke, kasafiri na kapata ajali,. hao tra toka lini wamepata mbinu za utekaji? mtu anaibuka tu na hoja pasipokuwa na ushahidi wowote
 
Ingekua enzi zile JPM angesingiziwa
 
Na mpaka sasa hakuna anayefahamu,
Huyu jamaa alikuwa anajishugulisha na biashara gani

Ova
 
Na mpaka sasa hakuna anayefahamu,
Huyu jamaa alikuwa anajishugulisha na biashara gani

Ova
Mnaouliza anajihusisha na nini, Hajawahi kujihusisha na biashara haramu. Hana roho hiyo. Ana kampuni ya kutengeneza film. Alianza na Zest films, then mziba investment.
 
Mnaouliza anajihusisha na nini, Hajawahi kujihusisha na biashara haramu. Hana roho hiyo. Ana kampuni ya kutengeneza film. Alianza na Zest films, then mziba investment.
Ohh kumbe anajishugulisha na mambo ya film
Aise hajapatikana mpaka sasa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…