Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Na 58% zilizobakia ni za wapi?.....halafu tuwekee na data source mkuu siyo kutupa figures zisizo na guu.
usipende pia kutafutiwa sana mkuu wakati mwingine tafuta source za maswala ya HIV ni nyingi mno hapa bongo,ilajua hiyo idadi ilio bakia ndio vijana wanye umri kati ya miaka 15-19,watumiaji wa dawa za kulevya nk
 


Hahahahahaah!.....hivi kwa umri huo wote huoni hata soni kudanganya kweupe?
 
Vitu vingine wala havihitaji kupewa attention kuubwa kwasababu havina umuhimu sana...

Hivi matatizo yoote haya Afrika bado kunawatu wanalipwa hela kutunga sheria eti watu watombanaje?!....serious!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‘πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±
 
usipende pia kutafutiwa sana mkuu wakati mwingine tafuta source za maswala ya HIV ni nyingi mno hapa bongo,ilajua hiyo idadi ilio bakia ndio vijana wanye umri kati ya miaka 15-19,watumiaji wa dawa za kulevya nk

Sasa kwa nini wachanganya vitu viwili tofauti, ungeleta data ya mashoga wasio tumia madawa , ili tuelewe ukweli kama ni tendo hili kweli huchangia asilimia hiyo ama ni mengine kama madawa ya kulevya.
Halafu mi ni mtafutaji wa balaa.
 
A TOTALLY AMEN TO THAT ONE!
 
Sasa kwa nini wachanganya vitu viwili tofauti, ungeleta data ya mashoga wasio tumia madawa , ili tuelewe ukweli kama ni tendo hili kweli huchangia asilimia hiyo ama ni mengine kama madawa ya kulevya.
Halafu mi ni mtafutaji wa balaa.
tafuta basi mbona hakuna mahala nilipo changanya,mimi nilitoa data zilizo kuwa zinahusiana na mada husika,hili swala lakuanza kunilazimisha nikupe taarifa zilizo baki ni uamuzi wangu!!kama mimi nilivyo amua kutafuta athari za ushoga na maambukizi ya ukimwi hapa nchini basi na wewe tafuta hiyo namba iliobaki ukamilishe jitihada zako
 
Ni bora ungelitumia tu lugha uielewayo?.......dhihirisho tosha tu ni lazima ukarejee darasani.

kelb wahed!
That is your opinion my friend. .and truly i don't care mradi message delivered. ...nikiandika kichaga. .kisukumu. ..kifaransa. ..kijerumani...kichina it is for my SOUL, it's my life. ..wewe kazana kubishana na kila kitu ulimwenguni maana huna harmony in your little programmed and controlled life. ...have a nice day my friend
 


Bla!..bla!..bla!....rule of thumbs is you provide the link/source as you avail your data.
Bure itakua ni kama cheti kisichokuwa na sahihi!

Mara nyingine ukiweka research data ,weka pia na link/source. Hakuna atakayeichukulia maandishi yasiyo na uthibitisho kwa uzito hata yakiwa ya kweli.........kwa kifupi ni mawaidha tu, yazingatie ama yapuuze.
Ahsante!
 

πŸ˜›πŸ˜›...have a nice life!...byeee!..πŸ˜€
 
Wala usiangaike nae wala kuumiza kichwa, majibu unayo ; mwanaume rijali hawezi sema ushoga so tatizo.
 
Wala usiangaike nae wala kuumiza kichwa, majibu unayo ; mwanaume rijali hawezi sema ushoga so tatizo.

Kwa taarifa yako, ni kinyume...mwanume rijali hajui ushoga ni nini,wala hata hayamhusu!....umechemka.
Tuseme hayo ni maoni yako binafsi, kila mtu na yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…