Museveni ana hali ngumu. Tumsadieni jamani

Museveni ana hali ngumu. Tumsadieni jamani

Mkuu wa Majeshi si nasikia ni mtu wake karibu sana wa damu, sasa hapo unadhani wanajeshi wataacha "kumpenda na kumtii"
Mkuu wa majeshi kuwa mtu wake wa karibu haiwalazimishi waganda wote kutii mambo yasiyokuwa ya haki. Mbona tunasaau sana jamani kwani Libya ilikuwaje? Jeshi lote lilikuwa linaonekana kumtii Rais lakini mambo yalipobadilika alikutwa kwenye mtaro akiwa kajificha na pistol yake ya dhahabu.
 
Mku wa majeshi ni ndugu yake museveni. Na huyu wakati anapandishwa cheo alikuwa askari mwenye cheo cha kawaida tu.

Nakumbuka ilileta maswali mengi sana, lakin kumbe ni ktk kujilinda
Ila M7 kawa rais muda kitambo vajameni, tangia 1986 hata wanaJF wengine walikuwa hawajazaliwa.
Halafu anatakamba kuwa yeye ndie kapigania hadi Uganda imekuwa na amani, hivyo wanaojifanya kuleta chokochoko au haki za binadamu wanapata ubavu wa kuongea kupitia amani aliyoileta yeye M7
 
Maandamano haramu yameshaanza katika viunga mbalimbali vya mji wa Kampala huku Askari wa kutuliza ghasia wakiwa watazamaji tu.

Naiomba serikali yangu ifanye kila liwezekanalo ili kuisaidia Serikali ya Museveni.
Hali hii ikiachwa Uganda itaingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hi ni mifano mnaoneshwa. Mnapoambiwa tendeni haki mnajibu kejeli na matusi na watu kupotea. Hamtabaki salama.
 
Kwani matatizo yetu yanatofouti gani na Uganda tumetawaliwa na chama kimoja zaidi ya miaka 50 hamna demokurasia uhuru usawa uchanguzi huru nk. Sasa who will help who?
Tofauti yetu na Uganda ni kubwa sana.
Sisi tuna mtindo wa kupokezana .. awamu hii akipatikana kiongozi ujue awamu inayofuata atapatikana mtawala.
 
Tujiandae tu kuweka mahema mipakani
Na chakula cha kutosha kwani haya ni kawaida na yanatokea sehemu nyingi, ila sio mpaka yatokee tu lazima tujiandae kwa lolote

Vurugu sio afya kwa taifa na hata jirani pia
Tuwaombee sana Mungu
Isitoshe mkuu silaha za aina mbalimbali zitaingia nchini, halafu lile bomba la mafuta tusahau.
 
Polisi wa uganda hawamtii tena raisi museveni na majeshi yake mengi aliyapeleka Somalia na inasemekana Uhuru kinyata anachochea kuni bado ana bifu na bomba la mafuta kupitia Tanga Tanzania.
 
Juzi Raisi Museveni alilihutubia taifa na kuwaambia wananchi kuwa wauwaji wote watapatikana na kwamba anaajiri Polisi wapya.
 
Mods mnamwacha huyu mpumbavu analeta Uzi wa kijinga hapa?kwa hiyo unataka Tanzania ipeleke jeshi kuua raia wanaodai haki zao? jinga kweli wewe boya,nguvu ya umma inazidi jeshi la nyuklia,museveni ataondoka kisha atafuatia Dikteta Magufuli.
Upuuzi


Jpm ameingiaje hapa.
 
Maandamano.zaidi yamepangwa wiki nzima.
 
Isitoshe mkuu silaha za aina mbalimbali zitaingia nchini, halafu lile bomba la mafuta tusahau.
Sio jambo dogo hili la kupuuza
Na vyuma vitakaza haswa maana uchumi tunaohangaika nao halafu walete tena vurugu tumekwisha
 
Back
Top Bottom