Museveni responds to Obama on anti-gay bill

misaada misaada misaada hilo ndio kitakuwa kiama chetu waafrica kupenda kusaidiwa wakati tunao uwezzo wa kujisaidia sisi wenyewe the only reason Museveni anasita kusaini document ni kwa sababu ya hofu hiyo ya kukosa misaada. jk naye aliochanganyikiwa na kushindwa kujibu maswali ya CNN ni kwa sababu hiyo hiyo ya misaada kwahiyo viongozi wa ki afrika sijui wataamka lini kuanza kuweka mikakati mapema TO SAVE OURSELVES FROM AID CULTURE MENTALITY, Tujiwekee angalau miaka 10 ya kujipanga ili kuondoka na misaada kwani siwezi kushangaa itafika mahali ulaya itatuambia tuchague RAIS GAY bila hivyo tusahau mark my words
 
Siku zote wazungu wamesha tuona sisi weusi ni kama wanyama. Wanatuendesha kwa remote. Misaada itasababisha hata tuambiwe kuoa wanyama kama mbwa na mbuzi na iwekwe kwenye katiba. Rais wangu kikwete ukiona maji yamefika kwa shingo wewe pitisha mswaada uwe sharia ili tupate misaada ambayo ndio inatuweka mjini.
 
Hawa ndo SIMBA wa AFRICA (at least katika hili) Kule Zimbabwe, Mugabe kasema "if Obama wants me to allow gay-ism in Zimbabwe, then he must first and foremost let me marry him as an example" unaweza kucheka hadi ukafa kabisa!!!!


Huyu Mugabe pamoja na mambo yake mengine ambayo amechemka, huwa ni mtu ambaye hana woga wowote...

Afrika tunahitaji viongozi kama hawa na especially sasa hivi ambapo scramble for Africa part 2 inaendelea!

Mugabe aliwahi kumpiga bomu G W Bush Jr na Tony Blair...."..In this world, it seems like there is only one God - Mr GW Bush and his prophet Tony Blair..." na pia alimfukusha Blair kwenye mkutano SA kwa kumwambia Blair kuwa..."Mr Blair, please keep you GB and I will keep my Zimbabwe"
 
that is a president talking, angekuwa mswahili wetu anacheka harafu jamii yetu haijawa tayari, sijui itakuwa tayari lini, ambapo ni kama kusema iko siku tutakuwa tayari wanaume kwa wanaume na wanawake kwa wanawake, haipo hiyo siku so be firm mr nazi
 
kenya walikataa hii kitu na misaada ni 5% kwa bajeti yao bado wanajenga flyover na bandari mpya zetu wenye 58%zinakufa daily hakuna anayejali,tunahitaji dikteta kama kagame jamani,cheki rwanda,sekta ya afya,barabara na uchumi uone,msiseme eti kale kadogo,uongozi mzuri unaonekana tu
 
ALPHRED MAHUNJA au yeyote yule, naomba link ya hii sheria niisome in full!
 
Last edited by a moderator:
Hapo mu 7 kawafungulia njia wale waoga. Tumuunge mkono kwa nguvu. Hawa wazungu tuwaambie wasitulee ushenzi wao. Hata pale watakapokua na marais wa-se-nge na mabasha zao ikulu tukiwa na watu kama akina mu7 na mzee mugabe sisi hawatupati kwenye ushenzi huo.
 
Njia ilishafunguliwa muda mreeeefu na Rais Good Luck wa Nigeria....yeye hakuhitaji scientific proof...alimwaga wino tu...

Afu wa Naija walivyo na jeuri wanamwambia Good Luck hao wazungu wasikutishe...wakikuwekea ngumu timua kwenye mafuta yetu...eti Canada walikatisha ziara yake baada ya ku sign hiyo anti gay bill....wapopo wakasema we need them as much as they need us...wakikutenga tu watenge na mafuta yetu....


Watu wanajua kuchangamkia fulsa...wapopo walipanga foleni ubalozi wa Netherlands eti wanaomba hifadhi kwa kuwa wao mashoga....tete wakati majority inasemekana walikuwa straight...

Kwa nini wana impose values zao kwetuuuuu????????????????

 
Obama kasahau kwamba naye anapaswa kuenzi mila za asili ya kwao ujaluoni, kageuka vuvuzela la wazungu.Yeye ni F1 hybrid na sio mbali sana na Ujaluo.
 
Though it was a polite yet a diplomatic but the fact is Africans view should not be under rated by West Countries especially USA.

Congratulation President Y.K> Museveni.
 
Nasikia Malawi ndoa za jinsia moja ruksa...te te te ...njaa mbaya sana
 
Inawezekana kikwete keshaanguka signature long time ninawasiwasi sana aisee mbona wamemwandama m7 tu ina maana yeye tu ndiye aliyekataa hayo makitu
 
M7 si kasaini....sisi tunakataa kimya kimya...tuna sheria ya mkoloni ambayo imekataza ushoga ...lakini hatujatunga sheria mpya kuzuia wala kuukubali ushoga...Na hatujawahi kuona sheria iliyopo ikitekelezwa...hakuna shoga alofungwa hapa Tz

Kama hiyo haitoshi wao wafadhili (partners...lol) wanataka tuweke wazi kisheria kuwa ndoa za jinsia moja ruksa kama walivyofanya Malawi na South Afrika na wababaikaji wengine....


Inawezekana kikwete keshaanguka signature long time ninawasiwasi sana aisee mbona wamemwandama m7 tu ina maana yeye tu ndiye aliyekataa hayo makitu
 
Museveni said:
1. I agreed with the MPs and almost all Ugandans that promotion of homosexuality in Uganda must be criminalized or rather should continue to be criminalized because the British had already done that;

How can he say that he wants the West to respect \African opinion and African stands when he starts his argument by saying that the reason for him to continue to criminalise homosexuality in Uganda is because the British had already done it? #SlaveMentality! EMT na Udadisi ningependa tudebate hili...


 
Last edited by a moderator:
Huyu ndiyo rais, si huyu mbongo muvi wetu ambaye kila kukicha yeye ni kucheka tu na kutalii. Kutoa maamuzi yaliyo sahihi anashindwa, ila ukiiba kuku wa jirani kwa njaa yeye atapendekeza ufungwe miaka miwili jela. Sodoma na Gomora iliyayuka kutokana na ujinga kama huu wa waname kutaka kuwa wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…