Jifunze kuandika halafu ukajifunze sheria. Huyo jaji aliyetoa hiyo hukumu ni mwehu?
Hivyo ndivyo unavyo mtetea,kwakuwa ulikuwa mmoja wa wawatumishi wake sio, ajiandae kuuza hata nguo zake, kama kiwanda Cha uchapishaji wavilevinigazeti vyake vilisha pigwa mnada kwa ujinga wake.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Wanaomdai wamekubaliana kwamba ataenda jela na watalipa gharama za chakula na kwamba atapewa kazi za nje za umma za kufagia barabara za Dar Dar na Dodoma, kusafisha vyoo pale Magufuli Terminal, kwenda kufua nguo kwa Membe, kuzibua vyoo na mifereji ya maji machafu...Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo...
Isije kuwa mwehu ni wewe, ukiwa sehemu ya wale vichaa walioenea wakitanzania wanaotokana na weledi wa kitanzania🏃.Jifunze kuandika halafu ukajifunze sheria. Huyo jaji aliyetoa hiyo hukumu ni mwehu?
Wale wote waliokuwa wanalalamikiwa wakati wa Mwendazake, wakifanya kinyume na HAKI, sasa umefika wakati wa kulipia maovu yao.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Hana nyumba, hana kiwanja? hana mali isiyohamishika? Kama hivyo ndiyo basi ajiandae kulilipa deni letu katika shughuli za uzalishaji...na sehemu nzuri ni lwenye geleza lenye uzalishaji hasa kilimo na ufugaji.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo...
Too late man, hukumu imeshatolewa. So alipeKampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Wapi alipo declare kufilisika? Week chapisho la Brela kuthibitisha kauli yakoKampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo...