Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Inawezekana hawakukubaliana kusaidiana kwenye hukumu za aina hii...waliomtuma wanatakiwa wamsaidie ktk kukabiliana na hukumu dhidi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana hawakukubaliana kusaidiana kwenye hukumu za aina hii...waliomtuma wanatakiwa wamsaidie ktk kukabiliana na hukumu dhidi yake.
Inawezekana hawakukubaliana kusaidiana kwenye hukumu za aina hii.
Zipo tetesi alikuwa akilipwa pesa nyingi sana akishaachia yale mabomu pia alihakikishiwa usalama wake...Duh!!
..hiyo ni biashara kichaa, na hufanywa na vichaa.
..baada ya Musiba kupewa yale " makombora, " kabla ya kuyarusha, alitakiwa ajihakikishie kwamba sponsors wake watamlinda hata pale atakapofikishwa mahakamani.
Musiba ni muungwana sana sema harakati za kimaisha tu zilimsukuma atukane watu..inawezekana Musiba ni mwendawazimu.
..mtu timamu hawezi kufanya mambo aliyokuwa akiyafanya Musiba.