Musiba ni Mufilisi kisheria hivyo hapaswi kudaiwa

Musiba ni Mufilisi kisheria hivyo hapaswi kudaiwa

Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.

Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.

My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
mataga pori mchangieni kenge wenu alipe deni.
 
Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.

Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.

My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Ndo unavyojipa matumaini?
 
Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.

Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.

My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Kwanza yuko wapi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kisheria kama umefilisika ni lazma upeleke taarifa zako mahakamani na mahakama ithibitishe hilo, hapo ndo hutadaiwa ila huyo bwana aidhani kama iko hivyo ndio maana ikaamliwa alipe.
 
Kisheria kama umefilisika ni lazma upeleke taarifa zako mahakamani na mahakama ithibitishe hilo, hapo ndo hutadaiwa ila huyo bwana aidhani kama iko hivyo ndio maana ikaamliwa alipe.
Kisheria kama umefilisika ni lazma upeleke taarifa zako mahakamani na mahakama ithibitishe hilo, hapo ndo hutadaiwa ila huyo bwana aidhani kama iko hivyo ndio maana ikaamliwa alipe.
We bwege kaa kimya.
 
We bwege kaa kimya.
Ndo ivo mkuu, huyo jamaa ikithibitika kafilisika basi kila kitu chake kitauzwa alipe madeni ya watu. Yani ni lazma alipe tuu.
Na bahati mbaya zaidi sheria haijabadilishwa, ko atafilisiwa mpaka abaki na mavazi yenye thamani ya buku tuuu.
 
..hana assets zozote kama nyumba au gari?
Kuna wakili kaeleza kwamba kisheria inatakiwa mali zake ziuzwe kimahakama ,kama hamna hizo mali Sheria zinasema awe anatumikia kifungo kwa miezi 6 mpaka hela itakapopatikana ,kwa miezi 6 tena kama bado haijapatikana anaongezewa 6 tena hivo hivo mpaka deni ilipwe
 
Auze figo basi, kwan wakati anatenda kosa je,wauze nyumba zake
 
Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.

Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.

My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Musiba Acha uongo,
 
Hayo mabilioni ni mengi mno hizo assets haziwezi kufidia.
..sio lazima alipe fedha zote alizoamriwa.

..aende mahakamani aka-negotiate jinsi ya kulipa kwa kuzingatia uwezo / ukwasi alionao.
 
Back
Top Bottom