Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
mataga pori mchangieni kenge wenu alipe deni.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Na badoAtavuna alichopanda
Ndo unavyojipa matumaini?Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Kwanza yuko wapi?Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Kisheria kama umefilisika ni lazma upeleke taarifa zako mahakamani na mahakama ithibitishe hilo, hapo ndo hutadaiwa ila huyo bwana aidhani kama iko hivyo ndio maana ikaamliwa alipe.
We bwege kaa kimya.Kisheria kama umefilisika ni lazma upeleke taarifa zako mahakamani na mahakama ithibitishe hilo, hapo ndo hutadaiwa ila huyo bwana aidhani kama iko hivyo ndio maana ikaamliwa alipe.
Ndo ivo mkuu, huyo jamaa ikithibitika kafilisika basi kila kitu chake kitauzwa alipe madeni ya watu. Yani ni lazma alipe tuu.We bwege kaa kimya.
Kuna wakili kaeleza kwamba kisheria inatakiwa mali zake ziuzwe kimahakama ,kama hamna hizo mali Sheria zinasema awe anatumikia kifungo kwa miezi 6 mpaka hela itakapopatikana ,kwa miezi 6 tena kama bado haijapatikana anaongezewa 6 tena hivo hivo mpaka deni ilipwe..hana assets zozote kama nyumba au gari?
Musiba Acha uongo,Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Hayo mabilioni ni mengi mno hizo assets haziwezi kufidia...hana assets zozote kama nyumba au gari?
..sio lazima alipe fedha zote alizoamriwa.Hayo mabilioni ni mengi mno hizo assets haziwezi kufidia.
[emoji1][emoji1][emoji2]Membe keshasema anataka hela Zake haraka ana kazi nazo.
[emoji1783][emoji1783]..inawezekana Musiba ni mwendawazimu.
..mtu timamu hawezi kufanya mambo aliyokuwa akiyafanya Musiba.
Musiba sio mwendawazimu ila tu alifanya alichotumwa...inawezekana Musiba ni mwendawazimu.
..mtu timamu hawezi kufanya mambo aliyokuwa akiyafanya Musiba.
[emoji1][emoji2][emoji1]Musiba sio mwendawazimu ila tu alifanya alichotumwa.
Musiba sio mwendawazimu ila tu alifanya alichotumwa.