Musiogope, silaha za nyuklia hazitatumika kwenye vita zinazoendelea sasa

Nimekuuliza swali hujajibu! Ili bomu liwe la nuclear linatakiwa liwe na vigezo gani?
Na usisahau kutwambia pia ulijuaje hivyo vigezo! Na kwenye zile nuclear power plant ni za kweli au nazo mchongo tu!
 
Mkuu vita vya 3 ni tofauti na vita vya harmagedon?
 
Awe ndio msemaji wa Allah? Au umepewa ufunuo kama nabii Yohana
 
Vita ya tatu ya dunia kwa watu dhaifu waarabu?Acha kuweweseka.
 
Nimekuuliza swali hujajibu! Ili bomu liwe la nuclear linatakiwa liwe na vigezo gani?
Na usisahau kutwambia pia ulijuaje hivyo vigezo! Na kwenye zile nuclear power plant ni za kweli au nazo mchongo tu!
Nuclear power point Ni kweli zipo, lakini nuclear bom hazijawahi kuwepo kwani hakuna anayetaka kuharibu uso wa dunia.

Tatzo labda bdo hujajua lengo kuu la globalists, wanataka wabaki wachache, watumie mali asili kwa manufaa yao, hawana nia ya kuharibu dunia kiasi cha kutumia mabomu ya nuclear.
 
Yaani waarabu na waajemi wasababishe vita ya tatu ya Dunia hiyo ni ndoto,
Trust me kadri kasi ya maendeleo ya tech yanavyokua binadamu tunazidi kuungana kuliko kutengana angalia mfano tu P diddy tukio lake limefanya Dunia iwe ndogo kila mahali pande za Dunia amekua memes
Na kusababisha binadamu tujadili hilo swala sembuse litokee tukio la kujaribu kuharibu Dunia hakuna watu vichaa wala timamu watakubali

Hizo vita baridi za wajinga wa middle east wanaotumia mihemko kuanzishiana choko choko hata hazitustui ndio maana tunawazoom tu watwangane atakayeshinda atachukua kombe!
😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…