Musiogope, silaha za nyuklia hazitatumika kwenye vita zinazoendelea sasa

Musiogope, silaha za nyuklia hazitatumika kwenye vita zinazoendelea sasa

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kinachoendelea mashariki ya kati nyuma yake kuna Mungu na Shetani. Vita za mashariki ya kati ni roadmap ya mwisho wa dunia. Kutokana na Vita zinazoondelea ulimwenguni sasa, kuna vitisho vya baadhi ya mataifa kutumia silaha za nuclear.

Nataka kuwatoa hofu hizo silaha hazitatumika kwenye hizi vita zinazoondelea ulimwenguni sasa. Viongozi hao wanatishia tu.

Ukweli ni kwamba silaha hizo zitatumika kipindi cha vita ya tatu ya dunia. Hii vita haiko mbali Sana. Ni siku za usoni Sana. Inaweza isifike miaka 10 Ijayo. Sasahivi Mungu anazuia matumizi ya nuclear kutupa muda wanadamu tuache uovu.

Kipindi cha vita ya tatu ya dunia kutakuwa na hali mbaya Sana duniani. Usalama hautakuwepo kwa kila mwanadamu ulimwenguni.
 
Vipi kama nikikuambia nuclear weapons hazipo na hazijawahi kuwepo?
 
Kinachoendelea mashariki ya kati nyuma yake kuna Mungu na Shetani. Vita za mashariki ya kati ni roadmap ya mwisho wa dunia. Kutokana na Vita zinazoondelea ulimwenguni sasa, kuna vitisho vya baadhi ya mataifa kutumia silaha za nuclear.

Nataka kuwatoa hofu hizo silaha hazitatumika kwenye hizi vita zinazoondelea ulimwenguni sasa. Viongozi hao wanatishia tu.

Ukweli ni kwamba silaha hizo zitatumika kipindi cha vita ya tatu ya dunia. Hii vita haiko mbali Sana. Ni siku za usoni Sana. Inaweza isifike miaka 10 Ijayo. Sasahivi Mungu anazuia matumizi ya nuclear kutupa muda wanadamu tuache uovu.

Kipindi cha vita ya tatu ya dunia kutakuwa na hali mbaya Sana duniani. Usalama hautakuwepo kwa kila mwanadamu ulimwenguni.
Kwa akili hizi acha Mama aupige mwingi
 
Na hao jamaa little boy na fat man waliotumika miji ya Nagasaki na yiroshima mwaka 1945 ni kina nani hao?
Hayo hayakuwa nuclear, ni fire- spread boms.

Target ni hofu, kuogopwa na kutukuzwa, hakuna aliye na hizo silaha, na hutaona zikitumika popote zaidi ya vitisho na mikwala.....
 
Kinachoendelea mashariki ya kati nyuma yake kuna Mungu na Shetani. Vita za mashariki ya kati ni roadmap ya mwisho wa dunia. Kutokana na Vita zinazoondelea ulimwenguni sasa, kuna vitisho vya baadhi ya mataifa kutumia silaha za nuclear.

Nataka kuwatoa hofu hizo silaha hazitatumika kwenye hizi vita zinazoondelea ulimwenguni sasa. Viongozi hao wanatishia tu.

Ukweli ni kwamba silaha hizo zitatumika kipindi cha vita ya tatu ya dunia. Hii vita haiko mbali Sana. Ni siku za usoni Sana. Inaweza isifike miaka 10 Ijayo. Sasahivi Mungu anazuia matumizi ya nuclear kutupa muda wanadamu tuache uovu.

Kipindi cha vita ya tatu ya dunia kutakuwa na hali mbaya Sana duniani. Usalama hautakuwepo kwa kila mwanadamu ulimwenguni.
Kwenye hii vita Mungu yuko upande gani na ndugu Shetani yupo upande upi?
 
Wapi Mungu Ameandika Nuclear kutotumika,ama Ni maoni binafsj mkuu,?
Nimesema nyuma ya hiyo vita kuna Mungu na Shetani. Na nimesema inatupa roadmap ya mwisho wa dunia. Umeuliza hivyo kwasababu humtafuti Mungu. Ukimtafuta Mungu hakufichi kitu. Mtafute Mungu haya hayatakuwa Siri tena kwako
 
Vipi kama nikikuambia nuclear weapons hazipo na hazijawahi kuwepo?
Na ile iliyopiga hiroshima ni nini mkuu?
Au labda utuambie ili ziwe silaha za nuclear inatakiwa ziwe na vigezo vipi? Au zitokane na kitu gani?
 
Na ile iliyopiga hiroshima ni nini mkuu?
Au labda utuambie ili ziwe silaha za nuclear inatakiwa ziwe na vigezo vipi? Au zitokane na kitu gani?
Hakuna silaha za nyuklia, unacho kiona ni 500 Tons of TNT being set off, ndipo huunda wingu kama uyoga.

Kuhusu Hiroshima, hazikuwa nuclear, ndyomaana hakuna mchimbuko wa ardhi zaidi ya moto uliokuwa unasambaa kwa kasi.

Everything we have been told is a lie........
 
We ni kama Israel huelewi hadi uone damu inatoka maskioni
 
Kinachoendelea mashariki ya kati nyuma yake kuna Mungu na Shetani. Vita za mashariki ya kati ni roadmap ya mwisho wa dunia. Kutokana na Vita zinazoondelea ulimwenguni sasa, kuna vitisho vya baadhi ya mataifa kutumia silaha za nuclear.

Nataka kuwatoa hofu hizo silaha hazitatumika kwenye hizi vita zinazoondelea ulimwenguni sasa. Viongozi hao wanatishia tu.

Ukweli ni kwamba silaha hizo zitatumika kipindi cha vita ya tatu ya dunia. Hii vita haiko mbali Sana. Ni siku za usoni Sana. Inaweza isifike miaka 10 Ijayo. Sasahivi Mungu anazuia matumizi ya nuclear kutupa muda wanadamu tuache uovu.

Kipindi cha vita ya tatu ya dunia kutakuwa na hali mbaya Sana duniani. Usalama hautakuwepo kwa kila mwanadamu ulimwenguni.
Unamuongelea Mungu wa Wakristo au wa Waislam? Au ng'ombe wa Wahindu kama Deepak Tanna?
 
Back
Top Bottom