Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Huyo binti hataki kucheka tu hyo zawadi
 
Dah.. makada kama hawa wanachosha kinyama. Wangeenda hata kutoa zawadi ya miche ya miti watoto wapande... kuna wakati JK aliwakataa makada walioenda kwenye sehemu isiyowahusu kisa tu JK alikuwa hapo. WanaCCM tubadilike. Tunawapa point tatu wapinzani kizembe sana.
 

Hivi Kuna watu wanakuita baba?

Khaaa.
 
CHADEMA tangu JPM aende ni kama mmelishwa limbwata mnaacha hoja za msingi kama upinzani mnaanza mipasho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…