Wakati tundu alishamdhihaki kusema eti alizoea vya kunyonga hahaha, lisu ana upungufu kichwaniNyerere ni Rais wa wote
Hahahaha yule wa msoga nae alikuwaga mtata sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uko sahihi lakini nasikia 'Jamaa' ni 'Bingwa' wa 'Visasi' hata kuliko 'Mtangulizi' wake Yule wa 'Msoga' ambaye 'anakuumiza' huku 'anakuchekea' tu.
Mama Maria alichana mkeka[emoji1787][emoji1787]Mama Maria alisimamishwa atie neno kwenye mkutanibwa kampeni za CCM.
Akasema hana la kusema yeye kawekwa kuongeza idadi ya watu tu
pale.
Kwa watu tunaojua kusikiliza mtu tukielewa.Kwa mama kama yule aliyeiona historia ya nchi nzima tangu inazaliwa kusema vile, ikikuwa kama anaikosesha radhi CCM.
Hivi halima bulembo katoswa ubunge[emoji15]Si mrundi kaamua kumtosa na kumtosa hadi mwanaye kwakua tu kazaa na zitto
ajiandae kisaikoilojia kazi ya kufanya baada ya 28 oct. 2020Jamaa anapuyanga tu huko, ona anachohutubia
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Nawapenda sana watani zangu Wagogo, naamini kabisa mtanipa kura, tena inawezekana Lusinde akanitafutia Kasichana kazuri ka Kigogo au mnasemaje Wagogo?, si mtanipa?, zege halilali, RC Dodoma mwagize Meneja wa TANROADS Mkoa wa Dodoma huu mwezi wa tisa ndani ya miezi miwili Barabara ya Mlowa kwenda Mvumi itangazwe tenda kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami ili Wagonjwa wanaougua hapa wawe wanapelekwa Mvumi, tunataka Jimbo hili ambalo lipo karibu na Makao Makuu ya Nchi tulibadilshe liwe lenye kunusanusa makao Makuu”
Jpm akiwa Mtera leo
Nyie vijana kwa kweli Jiwe amewaharibu akili, siasa si uadui na katika awamu zote nne hakuwahi kuwa na uadui wa kisiasa. Jiwe ana matatizo sana.Waligombea kura za maoni watu wa jimbo hilo wakawanyima kura Makongoro alipata kura tano mwiingine huyo madaraka alipata kura tatu naona wana hasira
Kura wakose wao hasira wazioyesheee kwa kumlaza Lisu kwao!!!!!!
Kwani kwa Nyerere ni kwenu? Mnawapangia wageni wa kuwakaribisha?Hasira zao za kushindwa tu kura za maoni
Watoto wa Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro na Madaraka, wamepata kura chache katika kura za maoni Jimboni kwao Butiama, Mara.
Jimbo la Butiama lilikuwa na wagombea 59 na wajumbe waliopiga kura walikuwa 555 na matokeo yaliongozwa na Jumanne Sagini aliyepata kura 84, akifuatiwa na Frank Mahemba aliyepata kura 80, wa tatu akiwa Joseph Nyamboha kura 46.
Katika kura hizo za maoni Makongoro Nyerere alipata kura 5 na Madaraka Nyerere aliambulia kura 2. Makongoro Nyerere aliwahi kuwa Mbunge wa Arusha kupitia NCCR-Mageuzi.
alimtukana mwl?? Au mmesahau??Wakuu,
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.
Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,
Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.
Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."
Kalala kwenye lodge ambayo ni biashara ya familia kwa wale wanaokwenda kutembelea maktaba na kaburi la Mwalimu, na Breakfast etc ni sehemu ya ukaribisho joy na kupiga picha etcMgombea wa Urais wa CHADEMA amelala Nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa
Kwa heshima anayopewa Baba wa Taifa ndani ya CCM na nchi kwa Ujumla hii haina madhara kwa familia na Chama?
Si wa kumchukulia poa kihivyo.Mama Maria alichana mkeka[emoji1787][emoji1787]
PALEMwitongo Lodge jamaniUamuzi ule ulikuwa fair kabisa, Nyerere kwa nafasi yake binafsi ndie alipigania mfumo wa vyama vingi Tanzania wakati wengi ndani ya chama chake walikuwa hawautaki.
Japo binafsi nasubiri kuona reaction ya jamaa yule baada ya tukio lile hasa alivyo na tabia ya kisirani.
Kuna lodge mkuu pale hata wewe unaweza kulala tu.Mgombea wa Urais wa CHADEMA amelala Nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa
Kwa heshima anayopewa Baba wa Taifa ndani ya CCM na nchi kwa Ujumla hii haina madhara kwa familia na Chama?
Alikuwa ni balozi Paulo Ndobho.Na hilo jimbo la Butiama ( Zamani Musoma Vijijini ) lilikuwa na mbunge wa Upinzani kutoka NCCR, uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995.
Tena alifanyiwa kampeni na Nyerere mwenyewe.