Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
Walimpiga Mawe, wapongeze pia kwa hilo
 
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
Mbona baadhi ya wanaCCM walimpiga mawe jana? Unafiki haufai.
 
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni wa kuhurumiwa tu
 
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
 

Attachments

  • Facebook 2822304441339649(240p)_1.mp4
    8.1 MB
ninyi watu wa fisiemu mtandaoni ndio mlitafsiri jinsi mlivyotaka ninyi, ila uhalisa wake wananchi waliuelewa ndio maana akapata mapokezi huko. acheni propaganda. yaani nimbake mkeo afu kesho kutwa unipokee nyumbani kwako? sio dunia hii
Hawahawa wanaCCM wa mtandaoni walitaabiri kuwa Lissu hatapokelewa Chato. Lakini nyomi yenye bashasha iliyompokea imewatia aibu.
 
FB_IMG_1602658556596.jpg

Wanawake mnatuangusha buku tano tano zinawadharirisha kwenye mvua..
 
Labda kijiwe cha mama yako, jana nilikwambia akikanyaga CHATO atapopolewa na mawe ukabisha nini kilitokea??

Pamoja na kusomba watu kutoka Katoro lakini bado mkapopolewa na mawe ya kutosha.


Kale kajmaa kenu milikokarekodi et kansema nimetoka Katoro kuja kumsapot Lissu ??
Unaongelea wahuni wasiozidi 20 huku maelfu wakimsubiri na kumsikiliza?
Lisu anapendwa sana hapa chato na sio huyo mgombea wako katili
 
Mtoa hoja unajitambulisha kama mchaMungu lakini unawezaje basi kuwatetea watu waliompiga risasi Lissu huku wakisema sijaleta maendeleo kwavile mlichagua upinzani nk.uwe makini unajitambulisha na waovu
.Yesu hachukulii poa
 
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
Lissu ni msema ukweli hata ukikasirika au ukamchukia. Alichosema kuhusu Nyerere alikuwa sahihi hata kama wewe unamuona Nyerere kama mungu wako
 

..Maprofesa walisema tunawadai Barrick usd 191 billion.

..sasa leo tunafanya sherehe kupokea usd 40 million.

..hebu fanyeni hesabu: 191, 000, 000, 000 gawanya kwa 40, 000, 000.

..Kwanini viongozi wetu wamelainika kiasi hiki?

..Wamekula RUSHWA kiasi gani? Kwanini MABEBERU wa Barrick wameanza kuwasifia?
 
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.

Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.

Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.

Maendeleo hayana vyama!
Hata Kama huta wapingeza wenyewe ni watu wanaojitambua ndio maana unaona yanayotokea.
 
Back
Top Bottom