Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Walimpiga Mawe, wapongeze pia kwa hiloWakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!
Na hoja hii hapa chini vipi?Hoja mfu!
Waliompiga mawe ni Chadema ili kuichafua CCM!Walimpiga Mawe, wapongeze pia kwa hilo
Tunapongeza kwa hilo bahati mbaya hawakumpiga yeye!Walimpiga Mawe, wapongeze pia kwa hilo
Labda wachuzi wa Sangara wametokea Singidavijiwe vyote huku CHATO ni habari ya lissu TU...
Mbona baadhi ya wanaCCM walimpiga mawe jana? Unafiki haufai.Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni wa kuhurumiwa tuWakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu dada anahangaika kama kuku anayetaka kutagaYa kwangu unayo wewe ambayo ndio nakutahadharisha ukitulize isije kutoka
Hawahawa wanaCCM wa mtandaoni walitaabiri kuwa Lissu hatapokelewa Chato. Lakini nyomi yenye bashasha iliyompokea imewatia aibu.ninyi watu wa fisiemu mtandaoni ndio mlitafsiri jinsi mlivyotaka ninyi, ila uhalisa wake wananchi waliuelewa ndio maana akapata mapokezi huko. acheni propaganda. yaani nimbake mkeo afu kesho kutwa unipokee nyumbani kwako? sio dunia hii
Unaongelea wahuni wasiozidi 20 huku maelfu wakimsubiri na kumsikiliza?Labda kijiwe cha mama yako, jana nilikwambia akikanyaga CHATO atapopolewa na mawe ukabisha nini kilitokea??
Pamoja na kusomba watu kutoka Katoro lakini bado mkapopolewa na mawe ya kutosha.
Kale kajmaa kenu milikokarekodi et kansema nimetoka Katoro kuja kumsapot Lissu ??
Lissu ni msema ukweli hata ukikasirika au ukamchukia. Alichosema kuhusu Nyerere alikuwa sahihi hata kama wewe unamuona Nyerere kama mungu wakoWakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!
Hata Kama huta wapingeza wenyewe ni watu wanaojitambua ndio maana unaona yanayotokea.Wakati wa bunge la katiba Tundu Lisu alimnenea maneno makali baba wa taifa na wengi tulikasirishwa lakini juzi kati Lisu amelala nyumbani kwa baba wa taifa na kula chakula.
Jana wananchi wa Chato wamempokea kwa Upendo Tundu Lisu licha ya kuwanenea maneno yasiyofaa kuhusu maendeleo yao.
Maeneo mengine kama kule chunya wangeweza kumpopoa kama walivyomfanyia JK.
Yesu alisema msiwatendee mabaya wale wanaowaudhi, Mungu awabariki wana Butiama na Chato.
Maendeleo hayana vyama!