Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna jicho la kisheria, hapo huyu mwakinyo ameshachomolewa kimtindo, hana kosa la shambulio, hajadhuru mwili,no any assault intended, kosa pekee aliloandikiwa ni kushindwa kudhibiti mbwa wake, there's a room left for him to dance. Sheria ni kwa ajili ya masikini, wajinga, na wasio na connection ChoiceVariableKwa ufafanuzi huu ana makosa, afikishwe kwa pilato.
Hapa kuna uongo,nazi zipangwe barabarani na wewe uende kuokota bila kujiuliza?"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga
Kwenye charge sheet hilo kosa la kujeruhi lipo?Makosa yapo mawili hapo
1.Kujeruhi.
2.Kushindwa kutunza mnyama mkali
Kwahiyo dogo kweli ni mwizi , nazi zimepangwa kwanini uokote?Hapa kuna uongo,nazi zipangwe barabarani na wewe uende kuokota bila kujiuliza?
Watu hawaelewi kuwa serikali na mwanamke wako sawa sawa Wana Sheria Ila huzivunja mbele ya strong/value men. Yaani haraka mno hakuna cha Nina mchumba ama mme wangu Wala hakuna kuliwa mpaka ndoa ,yaani ni fasta.Sheria ipo kwa watu maskini,wasio na Fedha Wala umaarufu.
Mwezi ni wa kufunga kula mchanaHassan amemjeruhi Ally..
Mbona wote ni upande Ule kwanini hawana Uoga na Mwezi Mtukufu?
Nahisi dogo atakuwa mwizi,unakuta nazi zimepangwa barabarani unaanza kuokota,tena zimepangwa sio kusambaa?huyu nahisi alikamatwa anaiba kabisa eneo la tukio ila anajaribu kutengeneza stori ambayo hata hivyo bado inamfunga tuKwahiyo dogo kweli ni mwizi , nazi zimepangwa kwanini uokote?
Nimeshangaa pia, labda walikuwa wakicheza nae yeye akajua anashambuliwa.Usha.mbuliwe na mbwa 6? Masihara haya. Labda wawe kama manunu wa wema sepetu
Kwa mwonekano wa dogo kuna uwezekano mkubwa kuwa ni mwizi ila haitoi uhalali wa Mwakinyo kufanya alichofanya. Huyu bondia wa kimataifa hajui kuwa tuko enzi za digitally kwamba alichofanya Tanga kinajulikana hadi New York muda huohuo?Nahisi dogo atakuwa mwizi,unakuta nazi zimepangwa barabarani unaanza kuokota,tena zimepangwa sio kusambaa?huyu nahisi alikamatwa anaiba kabisa eneo la tukio ila anajaribu kutengeneza stori ambayo hata hivyo bado inamfunga tu
Typical Mdigo. Wadigo ni wajivuni, mamwinyi and they are naturally hateful.Huyu dogo mwakinyo ana ka upumbavu na majivuno flani hivi.Halafu ni sadist sana
Ni kweliKwa mwonekano wa dogo kuna uwezekano mkubwa kuwa ni mwizi ila haitoi uhalali wa Mwakinyo kufanya alichofanya. Huyu bondia wa kimataifa hajui kuwa tuko enzi za digitally kwamba alichofanya Tanga kinajulikana hadi New York muda huohuo?
Uue kisa nazi hiyo ni roho ya kishetanihuyo dogo ni mwizi
ukija kuiba kwangu you should consider death as one of the result
Kumbe ni Hassan, hizi roho zinazaliwa upande huo tu amna cha kwa hyo jina lake lina ashiria nn Mr shetan??