Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Kwa ufafanuzi huu ana makosa, afikishwe kwa pilato.
Huna jicho la kisheria, hapo huyu mwakinyo ameshachomolewa kimtindo, hana kosa la shambulio, hajadhuru mwili,no any assault intended, kosa pekee aliloandikiwa ni kushindwa kudhibiti mbwa wake, there's a room left for him to dance. Sheria ni kwa ajili ya masikini, wajinga, na wasio na connection ChoiceVariable
 
Nahisi dogo atakuwa mwizi,unakuta nazi zimepangwa barabarani unaanza kuokota,tena zimepangwa sio kusambaa?huyu nahisi alikamatwa anaiba kabisa eneo la tukio ila anajaribu kutengeneza stori ambayo hata hivyo bado inamfunga tu
Kwa mwonekano wa dogo kuna uwezekano mkubwa kuwa ni mwizi ila haitoi uhalali wa Mwakinyo kufanya alichofanya. Huyu bondia wa kimataifa hajui kuwa tuko enzi za digitally kwamba alichofanya Tanga kinajulikana hadi New York muda huohuo?
 
Kwa mwonekano wa dogo kuna uwezekano mkubwa kuwa ni mwizi ila haitoi uhalali wa Mwakinyo kufanya alichofanya. Huyu bondia wa kimataifa hajui kuwa tuko enzi za digitally kwamba alichofanya Tanga kinajulikana hadi New York muda huohuo?
Ni kweli
 
Haha dogo nae asomeki japo miboxer nae kayumba naona alidhamiria amuue kusingekua na kesi mana angesema mwizi alivamia then dogz zikamruma
 
Back
Top Bottom