Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Sure ukimsoma hata gesture zake za mazungumzo..
Na mpenda showoff
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.

Wanawake zao wanajulikana bila hata kuwatolea maelezo. Wasambaa wanajulikana wao ni washamba, wabaguzi, wakabila na wambea, bila kusahau roho mbaya ndo kwao.
 
Ki
Huyu dogo ndani mwake kuna viashiria vya wizi
Kila nikisoma maelezo ya uyu dogo siamini kama alikuwa anaonewa

Inaonesha dogo ni mkwapuaji mzuri sana
Ila alitegwa na akategeka

.*Jamaa alichokosea kutumia nguvu kupita kiasi kwa dogo kama uyu

.*Halafu pia kutumia sheria mkononi
 
Dogo anaonekana janja janja sana japo kitendo alichofanya Mwakinyo kesi anayo ya kujibu.
 
Watu hawaelewi kuwa serikali na mwanamke wako sawa sawa Wana Sheria Ila huzivunja mbele ya strong/value men. Yaani haraka mno hakuna cha Nina mchumba ama mme wangu Wala hakuna kuliwa mpaka ndoa ,yaani ni fasta.
Wenye uwezo mkubwa kifikra ndo watakuelewa.
 
Kiukweli kwa hayo maelezo dogo naye ni kama mwizi mwizi hivi japo kitendo alichofanyiwa ni kibaya sana.
Itakuwa Mwakinyo anaibiwa na ikabidi ategeshe nazi. Lakini kwa nini asitegeshe nazi ndani ya fensi yake au nyumba haina fensi. Huwezi kutegesha barabarani halafu umvutie mwizi nyumbani!
 
Saa 11 alfajiri alikuwa anatokea wapi ?
Tufanye alikuwa anadharula ya kutoka, Ok. Mwenye dharula yake anaanzaje kuokota nazi ? Na siku zote nazi sio embe kwamba zitaanguka zenyewe mtini.
Kilichonichefua zaidi ni kuweka NAZI kwenye shati. Pumbavu kabisa.


Ila alichofanya champion boy ni makosa.
 
Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.


Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa

Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"


"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"

"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza

Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"


Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake

Chanzo: Millard Ayo
Watu wamesikiliza upande mmoja basi washa judge hii ndo nchi yangu bwana
 
Kosa la Mwakinyo hapa ni kujichukulia tu sheria mkononi. Ila huyu dogo ni mwizi/kibaka mzoefu. Na sasa Mwakinyo atalazimika kumlipa fidia kibaka/mwizi wake, na pia kuwapoza "wazee" ili mambo yakae sawa.
 
Mbwa wakali wakushambulie zaidi ya saa moja uwe hai au usiwe wa kupelekwa ICU labda walikua ni mbwa koko
Hao hao mbwa koko umejiuliza ni kwa namna gani huyo kijana anasikia maumivu hapo?muda anaopoteza hospital gharama kubaki na makovu kama mwizi etc!!!
 
Huyu dogo ndani mwake kuna viashiria vya wizi
Hata mimi nimeliona hilo. Ni sawa na wale waokota makopo. Itakuwa alishapigwa matukio ya wizi sana hivyo akamtega mwizi wake. Japo hajafanya sahihi lakini dogo naye ana viashiria vya ukibaka.
 
Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.


Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa

Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"


"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"

"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza

Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"


Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake

Chanzo: Millard Ayo
Duh!...huenda kuna sababu nyingine ila dogo hajaisema
 
Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.


Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa

Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"


"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"

"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza

Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"


Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake

Chanzo: Millard Ayo
Huyu Mwakinyo nae kmmkee
 
Mbwa wakali wakushambulie zaidi ya saa moja uwe hai au usiwe wa kupelekwa ICU labda walikua ni mbwa koko
Mkuu kitu ambacho waafrika hatujui ni mda
Yaani nimeyasikia na kuona mengi matukio tofauti
Unakuta mtu anakuambia eti flani kazimia masaa
Unajiuliza huyo alikufa masaa au alizimia

Madokta wanakutana na haya kila leo
Anaona akisema dakika 10 anaona ndogo sana
 
Back
Top Bottom