Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Kwahiyo dogo kweli ni mwizi , nazi zimepangwa kwanini uokote?
Kwa mwonekano wa dogo kuna uwezekano mkubwa kuwa ni mwizi ila haitoi uhalali wa Mwakinyo kufanya alichofanya. Huyu bondia wa kimataifa hajui kuwa tuko enzi za digitally kwamba alichofanya Tanga kinajulikana hadi New York muda huohuo?
Hata kama ni Mwizi je Mwakinyo alistahili kufanya hayo aliyoyafanya ikiwa alifanikiwa kumdhibiti? Kwanini asimpeleke polisi.

Wananchi wanasema siyo tukio la kwanza Mwakinyo kufanya hivyo huyo ni mtu wa nne hapo mtaani yupo aliewahi kumchoma na pasi je ni sawa?

Binafsi naona mwakinyo kafeli kuishi na jamii yake, mtaa mzima wazee, wanawake , vijana kukukataa ni kupoteza, inaonekana haishi kwa wema na majirani zake, hao ndo walitakiwa kuwa mashabiki zake wa kwanza ila katengeneza nao uadui kwa status yake ku attempt murder kisa nazi ni mambo yasiyoingia akilini, ni hulka tu ya ukorofi ndo ina influence hayo matukio
 
Hata kama ni Mwizi je Mwakinyo alistahili kufanya hayo aliyoyafanya ikiwa alifanikiwa kumdhibiti? Kwanini asimpeleke polisi.

Wananchi wanasema siyo tukio la kwanza Mwakinyo kufanya hivyo huyo ni mtu wa nne hapo mtaani yupo aliewahi kumchoma na pasi je ni sawa?

Binafsi naona mwakinyo kafeli kuishi na jamii yake, mtaa mzima wazee, wanawake , vijana kukukataa ni kupoteza, inaonekana haishi kwa wema na majirani zake, na wanasema alishaahidi ataua mtu
Basi atakuwa na tatizo la afya ya akili
 
Dogo aliyakanyaga(mwizi) na mwakinyo Naye kayakanyaga(kajichukulia Sheria mkononi)
 
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.

Wanawake zao wanajulikana bila hata kuwatolea maelezo. Wasambaa wanajulikana wao ni washamba, wabaguzi, wakabila na wambea, bila kusahau roho mbaya ndo kwao.
Duuh mkuu wamekufanya Nini watu watanga,wamekutombea demu Nini .mbona umegenerelize mambo mabaya mabaya tu.
 
Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.


Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa

Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"


"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"

"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza

Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"


Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake

Chanzo: Millard Ayo
''....wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota,...''
 
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.

Wanawake zao wanajulikana bila hata kuwatolea maelezo. Wasambaa wanajulikana wao ni washamba, wabaguzi, wakabila na wambea, bila kusahau roho mbaya ndo kwao.
Vipi kuhusu wadigo na wanguu?
 
Huyu dogo mwakinyo ana ka upumbavu na majivuno flani hivi.Halafu ni sadist sana
Ni chuki tu dhidi ya mwakinyo huyo dogo kaingia kwenye fensi ya watu usiku na obvious usiku umbwa huwa wamefunguliwa
 
HAIJALISHI! Tuache kujaribu ku-justify ushenzi! Mwakinyo alikuwa na uwezo wa 99% wa kumdhibiti huyo Dogo na kumfikisha kwenye mamlaka.
Kwa hapa Dar mwizi hata akidhibitiwa Kwa asilimia 101 kinachofuta ni kuwa dogo ashukuru Yuko hai
 
Mwakinyo kufungwa ni ngumu ila tayari ameshachafuka. Ingekuwa Marekani ndo ingekuwa mwisho wake.
Kwa kosa gani? Kwa marekani na South Africa mtu akiingia kwenye eneo lako ukimpiga bomba huna kosa huyo dogo ashukuru busara tu za mwakinyo
 
Hata kama ni Mwizi je Mwakinyo alistahili kufanya hayo aliyoyafanya ikiwa alifanikiwa kumdhibiti? Kwanini asimpeleke polisi.

Wananchi wanasema siyo tukio la kwanza Mwakinyo kufanya hivyo huyo ni mtu wa nne hapo mtaani yupo aliewahi kumchoma na pasi je ni sawa?

Binafsi naona mwakinyo kafeli kuishi na jamii yake, mtaa mzima wazee, wanawake , vijana kukukataa ni kupoteza, inaonekana haishi kwa wema na majirani zake, hao ndo walitakiwa kuwa mashabiki zake wa kwanza ila katengeneza nao uadui kwa status yake ku attempt murder kisa nazi ni mambo yasiyoingia akilini, ni hulka tu ya ukorofi ndo ina influence hayo matukio
Watu wanapenda sana kuhalalisha ushenzi kwa sababu alichofanya Mwakinyo hakiwezi kuwa justfied kwa sababu yoyote.
 
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.

Wanawake zao wanajulikana bila hata ivikuwatolea maelezo. Wasambaa wanajulikana wao ni washamba, wabaguzi, wakabila na wambea, bila kusahau roho mbaya ndo kwao.
Hivi Tanzania Kuna kabila lisilo na roho mbaya?
 
Back
Top Bottom