Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Kwa kosa gani? Kwa marekani na South Africa mtu akiingia kwenye eneo lako ukimpiga bomba huna kosa huyo dogo ashukuru busara tu za mwakinyo
Acha kutetea ushenzi wewe! Eti Marekani na SA! Marekani ya wapi hiyo? Usichojua ni kwamba matukio kama hayo kwa US au hata SA huwa yanaambatana na matumizi ya silaha, kwahiyo mwenye mali inakuwa rahisi kwake kusema ilikuwa self-defense kwa sababu victim alikuwa na silaha lakini sio huyo Dogo ambae Mwakinyo alikuwa na uwezo wa kumdhibiti
 
Hata kama ni Mwizi je Mwakinyo alistahili kufanya hayo aliyoyafanya ikiwa alifanikiwa kumdhibiti? Kwanini asimpeleke polisi.

Wananchi wanasema siyo tukio la kwanza Mwakinyo kufanya hivyo huyo ni mtu wa nne hapo mtaani yupo aliewahi kumchoma na pasi je ni sawa?

Binafsi naona mwakinyo kafeli kuishi na jamii yake, mtaa mzima wazee, wanawake , vijana kukukataa ni kupoteza, inaonekana haishi kwa wema na majirani zake, hao ndo walitakiwa kuwa mashabiki zake wa kwanza ila katengeneza nao uadui kwa status yake ku attempt murder kisa nazi ni mambo yasiyoingia akilini, ni hulka tu ya ukorofi ndo ina influence hayo matukio
Swali la msingi inabidi kujiuliza kwanini nguvu kubwa inatumika kutetea wizi?
 
kutetea ushenzi wewe! Eti Marekani na SA! Marekani ya wapi hiyo? Usichojua ni kwamba matukio kama hayo kwa US au hata SA huwa yanaambatana na .matumizi ya silaha, kwahiyo mwenye mali inakuwa rahisi kwake kusema ilikuwa self-defense kwa sababu victim alikuwa na silaha lakini sio huyo Dogo ambae viMwakinyo alikuwa na uwezo wa o
Huyo dogo ndo kafanya ushenzi madogo kama yeye hapa Dar wanauwa kila kukicha.

Trespasser kama huyo dogo USA na SA huwa wanauawa faster issue ya alikuwa amebeba Nini au walikuwa wangapi ni badae
 
Kwa hapa Dar mwizi hata akidhibitiwa Kwa asilimia 101 kinachofuta ni kuwa dogo ashukuru Yuko hai
Ashukuru nini ewe kiumbe mtetea ushenzi? Sheria zipo; na hiyo Dar inakuwa ni rowd psychology ambapo kila mtu anakuwa na akili zake! Na kutokana na hiyo rowd psychology wapo watu kadhaa wamewahi kuuawa lakini baadae inakuja kugundulika wala hawakuwa kama ilivyodhaniwa! Mwakinyo alikuwa ana uwezo wa kumpeleka huyo dogo kunakohusika na sio kwa huo ushenzi aliofanya!
 
Huyo dogo ndo kafanya ushenzi madogo kama yeye hapa Dar wanauwa kila kukicha.

Trespasser kama huyo dogo USA na SA huwa wanauawa faster issue ya alikuwa amebeba Nini au walikuwa wangapi ni badae
Acha hizo stori za "hapa Dar, hapa Dar"! Au ndo umeingia mjini juzi na unajaribu kuonesha unavyoujua mji?! Huo ni ushenzi tu!
 
Uue kisa nazi hiyo ni roho ya kishetani
Mkuu siku ukiibiwa ndo utaelewa. Mwizi ni mwizi tu, hata akikuibia kanda mbili anatakiwa auwawe. Huyo dogo kwa hayo maelezo ni mwizi kabisa, na ni vile tu alipata alipata nafasi ya kuiba nazi, huwenda angepata upenyo wa kuingia ndani angeiba kitu cha thamani zaidi. Binafsi nadhani huyo dogo ndo ana roho ya kishetani zaidi kwa kuwa ni mwizi, siku zote tendo la wizi ni la kishetani. Wezi wanarudisha sana nyuma maendeleo ya watu.
Imagine umelima mahindi halafu unakuja shambani unamkuta mtu anakata hindi moja, utamuacha kisa amekata hindi moja? Huyo anakuwa ni mwizi kama wezi wengine, anapaswa kuadhibiwa ili iwe fundisho kwake na wengine wenye tabia hiyo.
Majizi yanatakiwa yauwawe tu hamna namna. yanarudisha nyuma wenzao.
Mtu amepanga nazi zake vizuri huenda ni kwa ajili ya kuziuza halafu halafu wewe unakwenda kuchukua!!! Hii haikubaliki.
Pia labda huenda Mwakinyo amekuwa anaibiwa mara kwa mara hapo kwake akaamua kuweka mtego ili ambaini mwizi.
 
Acha hizo stori za "hapa Dar, hapa Dar"! Au ndo umeingia mjini juzi na unajaribu kuonesha unavyoujua mji?! Huo ni ushenzi tu!
Sawa Mimi nmengia juzi ila ungiie kwenye eneo langu makazi usiku unauawa kwasababu siwezi acha usalama wa familia yangu uwe hatarini kisa kumwonea huruma mwizi
 
Uue kisa nazi hiyo ni roho ya kishetani
Mwizi kasema alikuwa anaiba Nazi lakini huwenda alikuwa anaiba vitu vingine kabisa hata ungekuwa wewe ndo mwizi ungesema vyote ulivyokuwa unataka kuiba ?
 
Sawa Mimi nmengia juzi ila ungiie kwenye eneo langu makazi usiku unauawa kwasababu siwezi acha usalama wa familia yangu uwe hatarini kisa kumwonea huruma mwizi
Karibu mjini na hizo stori zako zisizoisha za "hapa Dar! Hapa Dar"
 
Kilichotokea ni kwamba mwizi kaingia kwenye 18 za mtego, kapata alichostahili...

Kama alikutwa ndani ya eneo la bwana Mwakinyo, kesi ishaisha maana hata hiyo ya kushindwa kudhibiti mbwa siono kama ni kesi kwa sababu hao mbwa iweje wasijeruhi siku nyinhine yeyote isipokuwa siku hiyo, au iweje wajeruhi ndani ya mipaka anayoishi kijana Mwakinyo tu na si zaidi ya hapo...
 
Ndivyo watu wa tanga walivyo… wale wa tanga mjini, makabila kama wagunya, wazigua, wabondei na wenye uarabu na usomali. Maneno maneno, umbea, ushari, fitna, unafki ndo kwao wanaume wa kitanga.

Wanawake zao wanajulikana bila hata kuwatolea maelezo. Wasambaa wanajulikana wao ni washamba, wabaguzi, wakabila na wambea, bila kusahau roho mbaya ndo kwao.
Acha akili za kijinga wewe! Matukio ya kishenzi kama haya yanatokea kote Tanzania; unataka kusema na huko kwingine ni watu wa Tanga ndio wanafanya huo ushenzi?! Yaani seriously hadi karne ya 21 bado mnasumbuliwa na stereotype?
 
Mbwa wakali wakushambulie zaidi ya saa moja uwe hai au usiwe wa kupelekwa ICU labda walikua ni mbwa koko
MBWA anashambulia ukileta upinzani. Ukitulia anaacha, Nina rottweiler wawili wakali sana, walikamata paka usiku wakakaa naye Hadi asubuhi bila kumuua. Akijigusa wanamtuliza, paka akaona hapa nilale tu maana Hawa nikisogea ndipo nakosea.
 
HAIJALISHI! Tuache kujaribu ku-justify ushenzi! Mwakinyo alikuwa na uwezo wa 99% wa kumdhibiti huyo Dogo na kumfikisha kwenye mamlaka.
Tuliza akili, sijatetea alichokifanya Mwakinyo, ila hoja yangu ni kuwa huyo dogo nae ana shida. Pia tusisahau tuna kila haki kumzibiti ipasavyo mtu anaeiba au kuingia katika mali zetu bila ridhaa zetu.
 
Acha akili za kijinga wewe! Matukio ya kishenzi kama haya yanatokea kote Tanzania; unataka kusema na huko kwingine ni watu wa Tanga ndio wanafanya huo ushenzi?! Yaani seriously hadi karne ya 21 bado mnasumbuliwa na stereotype?
Haha... Kweli watu wa Tanga ndivyo mlivyo. Ona ulivyothibitisha.
 
Tuliza akili, sijatetea alichokifanya Mwakinyo, ila hoja yangu ni kuwa huyo dogo nae ana shida. Pia tusisahau tuna kila haki kumzibiti ipasavyo mtu anaeiba au kuingia katika mali zetu bila ridhaa zetu.
🥱😁🥱😁🥱😁
 
Back
Top Bottom