much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Hivi uvamiwe na jambazi una siraha una mbwa wakali na ukamwacha hai si busara hizo?Busara?
Una akili timamu? Nini maana ya busara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uvamiwe na jambazi una siraha una mbwa wakali na ukamwacha hai si busara hizo?Busara?
Una akili timamu? Nini maana ya busara?
Sawa ni mwizi kwanini ajichukulie sheria mkononiSwali la msingi inabidi kujiuliza kwanini nguvu kubwa inatumika kutetea wizi?
Haya mbona kakamatwa na polisi sasa kama busara?Hivi uvamiwe na jambazi una siraha una mbwa wakali na ukamwacha hai si busara hizo?
Hakuna Sheria mkononi yeye mwenyewe mwakinyo kasema aliamshwa na kelele za mbwa huyo dogo anasema sema alikamatwa ndo mbwa wakafunguliwa kitu ambacho hakii akilini mtu afunge mbwa wa ulinzi harafu awafungie bandaniSawa ni mwizi kwanini ajichukulie sheria mkononi
Wewe ndo utakavyokuwa na akili ndo uje kwani ukikamatwa na police ndo unakosa?Haya mbona kakamatwa na polisi sasa kama busara?
Mpaka siku utakapokuwa na akili ndiyo uje hapa sawa?
What if mwakinyo alikuwa anajihami dhidi ya Hilo jambaziSawa ni mwizi kwanini ajichukulie sheria mkononi
Jina lako ni Muck knowHakuna Sheria mkononi yeye mwenyewe mwakinyo kasema aliamshwa na kelele za mbwa huyo dogo anasema sema alikamatwa ndo mbwa wakafunguliwa kitu ambacho hakii akilini mtu afunge mbwa wa ulinzi harafu awafungie bandani
Sasa kwanini kesi iwe KUSHINDWA KUWADHIBITI MBWA WAKE badala ya KUMJERUHI MTU KWA KUMSHAMBULIA KWA VISU NA MBWA?Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.
Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa
Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"
"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"
"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza
Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"
Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga "Tukio hilo limetokea nyumbani kwa Mwakinyo baada ya mbwa hao kuachiliws huru katika eneo la nyumbani kwake
Chanzo: Millard Ayo
Pole sana, lakini kwa taarifa yako hata huko Tanga kunafananaje, SIJUI! Katika ukoo wetu wote, mtu pekee ambae angalau amewahi kuishi Tanga ni babangu mdogo ambae alikuwa kule Kikazi na tangu ametoka sidhani kama amewahi kwenda Tanga! Sina kumbukumbu ikiwa nina ndugu yeyote wa Kitanga hata kupitia ndoa za ndugu za wengine!! Kwa maana nyingine, watu wanaojielewa hawakemei upuuzi eti kwa sababu upuuzi huo una uhusiano wa aina yoyote na wao bali wanakemea upuuzi kwa sababu ni upuuzi kuhusisha upuuzi na jamii yoyote ile.Haha... Kweli watu wa Tanga ndivyo mlivyo. Ona ulivyothibitisha.
Kijana Mussa Ally (21), Mvuvi na Mkazi wa Sahare Jijini Tanga anaendelea na matibabu Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kwa sasa amepata nafuu baada ya kushambuliwa nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo alfajiri March 04,2025 na kufikishwa Hospitali akiwa mahututi na majeraha mwilini.
Akiongea Hospitalini hapo Kijana huyo amesema Mwakinyo alimshambulia kwa kisu na kumfungulia mbwa sita saa 12 alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa
Sahare anaoishi Mwakinyo "Mimi ni Mvuvi nafanya kazi za Baharini, siku ya tukio niliamka kwenda kufanya kazi ya kuchomeka nguzo maeneo ya Tanga Beach hii ni kazi tu niliyoipata kwa siku hiyo"
"Niliwa njiani nikaziona nazi zimepangwa na nikaanza kuziokota, ghafla Hassan Mwakinyo alifika akiwa na Kijana wake wa kazi wakaniuliza nazi nimetoa wapi? nikajibu nimeziokota, Mwakinyo akajibu umeyakanyaga na kuanza kunishambulia kwa kunipiga mtama na kuniburuzia nyumbani kwake, zile nahisi kama zilitegeshwa"
"Mwakinyo wakati anaendeelea kunishambulia akamuagiza
Kijana wa kazi kisu na kuanza kunikata miguu na kunivua nguo na kufungulia mbwa waliokuwa wakinijeruhi kwa zaidi ya lisaa limoja, nikakaa pembeni nikiwa nimekata tanaa nasubiri kufa tu, akaja Mwenyekiti baadaye wakaja Polisi nikawasikia wanasema ameshakufa huyu tumburuze tu, baadaye nikajikuta Hospitali"
Kwa upande wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kumshikilia Hassani Mwakinyo (29), Mkazi wa Sahare Jijini Tanga kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma za kushindwa kudhibiti mbwa wake, ambao walimshambulia na kumjeruhi Mussa Ally (21), Mv
Mpuuzi katika ubora wako. Nakupuuza.Pole sana, lakini kwa taarifa yako hata huko Tanga kunafananaje, SIJUI! Katika ukoo wetu wote, mtu pekee ambae angalau amewahi kuishi Tanga ni babangu mdogo ambae alikuwa kule Kikazi na tangu ametoka sidhani kama amewahi kwenda Tanga! Sina kumbukumbu ikiwa nina ndugu yeyote wa Kitanga hata kupitia ndoa za ndugu za wengine!! Kwa maana nyingine, watu wanaojielewa hawakemei upuuzi eti kwa sababu upuuzi huo una uhusiano wa aina yoyote na wao bali wanakemea upuuzi kwa sababu ni upuuzi kuhusisha upuuzi na jamii yoyote ile.
Halafu ni Nazi na wala sio madafu.Nahisi dogo atakuwa mwizi,unakuta nazi zimepangwa barabarani unaanza kuokota,tena zimepangwa sio kusambaa?huyu nahisi alikamatwa anaiba kabisa eneo la tukio ila anajaribu kutengeneza stori ambayo hata hivyo bado inamfunga tu
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Mpuuzi katika ubora wako. Nakupuuza.
Ni kweliHalafu ni Nazi na wala sio madafu.
Na hata yangekua madafu hayo yangekua yameamguliwa na mtu.
Labda wewe ndo unaweza kuwa mgeni ila kwasisi tuliozaliwa hapa mjini tumeshashudia madogo wengi wenye tamaa wakipoteaKaribu mjini na hizo stori zako zisizoisha za "hapa Dar! Hapa Dar"
Hapana sio muck know ni Much knowJina lako ni Muck know
Aah kumbe Much knowHapana sio muck know ni Much know