Mussa: Mwakinyo alifungulia Mbwa wakanishambulia kwa zaidi ya Saa 1, nilikataa tamaa nikisubiri kufa

Hivi uvamiwe na jambazi una siraha una mbwa wakali na ukamwacha hai si busara hizo?
Haya mbona kakamatwa na polisi sasa kama busara?

Mpaka siku utakapokuwa na akili ndiyo uje hapa sawa?
 
Sawa ni mwizi kwanini ajichukulie sheria mkononi
Hakuna Sheria mkononi yeye mwenyewe mwakinyo kasema aliamshwa na kelele za mbwa huyo dogo anasema sema alikamatwa ndo mbwa wakafunguliwa kitu ambacho hakii akilini mtu afunge mbwa wa ulinzi harafu awafungie bandani
 
Huyo dogo naye ni mwizi tu, maelezo yake yana utata mwingi

Namuelewa Mwakinyo kwanini kafanya hivyo ingawaje sio sahihi
 
Hakuna Sheria mkononi yeye mwenyewe mwakinyo kasema aliamshwa na kelele za mbwa huyo dogo anasema sema alikamatwa ndo mbwa wakafunguliwa kitu ambacho hakii akilini mtu afunge mbwa wa ulinzi harafu awafungie bandani
Jina lako ni Muck know
 
Sasa kwanini kesi iwe KUSHINDWA KUWADHIBITI MBWA WAKE badala ya KUMJERUHI MTU KWA KUMSHAMBULIA KWA VISU NA MBWA?
 
Haha... Kweli watu wa Tanga ndivyo mlivyo. Ona ulivyothibitisha.
Pole sana, lakini kwa taarifa yako hata huko Tanga kunafananaje, SIJUI! Katika ukoo wetu wote, mtu pekee ambae angalau amewahi kuishi Tanga ni babangu mdogo ambae alikuwa kule Kikazi na tangu ametoka sidhani kama amewahi kwenda Tanga! Sina kumbukumbu ikiwa nina ndugu yeyote wa Kitanga hata kupitia ndoa za ndugu za wengine!! Kwa maana nyingine, watu wanaojielewa hawakemei upuuzi eti kwa sababu upuuzi huo una uhusiano wa aina yoyote na wao bali wanakemea upuuzi kwa sababu ni upuuzi kuhusisha upuuzi na jamii yoyote ile.
 
Wananchi wamemchoka kwa vituko vyake........
wananchi wanataka ahame........
SISI TUSIOISHI NAYE TUNATETEA......
 
Po
 
Mpuuzi katika ubora wako. Nakupuuza.
 
Nahisi dogo atakuwa mwizi,unakuta nazi zimepangwa barabarani unaanza kuokota,tena zimepangwa sio kusambaa?huyu nahisi alikamatwa anaiba kabisa eneo la tukio ila anajaribu kutengeneza stori ambayo hata hivyo bado inamfunga tu
Halafu ni Nazi na wala sio madafu.
Na hata yangekua madafu hayo yangekua yameamguliwa na mtu.
 
Karibu mjini na hizo stori zako zisizoisha za "hapa Dar! Hapa Dar"
Labda wewe ndo unaweza kuwa mgeni ila kwasisi tuliozaliwa hapa mjini tumeshashudia madogo wengi wenye tamaa wakipotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ