Mussa Zungu ataka wananchi kujifunga mkanda kwa maendeleo yao, asema misaada inaenda kupungua kutokana na vita

Mussa Zungu ataka wananchi kujifunga mkanda kwa maendeleo yao, asema misaada inaenda kupungua kutokana na vita

Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua kutokana na vita inayoendelea Ukraine
Kufunga mkanda ni pamoja na wabunge wa vyama vyote kuanza kulipa kodi. Yeyote anayepokea fedha ya watanzania kama mshahara anapaswa kulipa kodi ya PAYE.
 
Mwalimu Nyerere alipunguza mshahara wake wakati anawaambia wananchi wajifunge mkanda.

Waanze kwa mfano, wajifunge kwanza mikanda na wao.
 
Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo.

Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua kutokana na vita inayoendelea Ukraine

=======

Mussa Zungu: Kwanza mimi niipongeze Serikali kwa kuwasikiliza wananchi, wananchi wamepiga makelele na Serikali imesikiliza vizuri na Rais ameagiza ipitiwe(Tozo) na makelele yakazidi Rais akaagiza ipitiwe tena, imepitiwa na imepunguzwa sana.

Huu ndio uwajibikaji na uwazi ambao wananchi wamepeleka hoja kwa Serikali na mheshimiwa Rais ametoa maelekezo kwa Serikali yake na mmeona juzi gharama zimeshuka sana.

Pamoja na hayo zinajenga vituo, zinajenga hospitali ambayo wewe na mkeo mnakwenda kujifungua.

Tujivunie kujenga vitu vyetu tusingoje misaada, misaada huko mbele itapungua kutokana na vita ile nchi zenyewe zinazotusaidia zenyewe zina matatizo makubwa sana, na sisi wenyewe tujifunge mkanda tujenge chetu.

Kitu muhimu pesa hakuna, isitumike kwenye matumizi ambayo sio sahihi, matumuzi ya anasa, zitumike kwa maendeleo ya wananchi.

Mkuu Zungu ukiwa mkweli si vizuri tu!!?

Sema marekani atapunguza misaada hasa kwenye shirika la AFYA WHO ambalo Ndio kichaka chetu cha misaada kwenye AFYA!!!

Ndio màana mmeua NHIF na kuingizwa Bima ya AFYA KWA wote WAKATI HATA NHIF hamjasema fedha ZETU tulizochangia ziko wapi!!?

Najua kutokuonyesha msimamo wetu tupo upande gani kwenye vita Ndio kumetuponza hadi matozo tumeyaingiza Ili kufidia elimu na AFYA si Ndio!!?

Sawa nyie hamlipi Kodi coz nyie ni miungu watu!

Mungu ibariki TANZANIA!!
 
Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo.

Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua kutokana na vita inayoendelea Ukraine

=======

Mussa Zungu: Kwanza mimi niipongeze Serikali kwa kuwasikiliza wananchi, wananchi wamepiga makelele na Serikali imesikiliza vizuri na Rais ameagiza ipitiwe(Tozo) na makelele yakazidi Rais akaagiza ipitiwe tena, imepitiwa na imepunguzwa sana.

Huu ndio uwajibikaji na uwazi ambao wananchi wamepeleka hoja kwa Serikali na mheshimiwa Rais ametoa maelekezo kwa Serikali yake na mmeona juzi gharama zimeshuka sana.

Pamoja na hayo zinajenga vituo, zinajenga hospitali ambayo wewe na mkeo mnakwenda kujifungua.

Tujivunie kujenga vitu vyetu tusingoje misaada, misaada huko mbele itapungua kutokana na vita ile nchi zenyewe zinazotusaidia zenyewe zina matatizo makubwa sana, na sisi wenyewe tujifunge mkanda tujenge chetu.

Kitu muhimu pesa hakuna, isitumike kwenye matumizi ambayo sio sahihi, matumuzi ya anasa, zitumike kwa maendeleo ya wananchi.

Huyu anaongea nini, hakumbuki alivyokamatwa kwa rushwa halafu leo ndiyo naibu spika. SHAME ON YOU MUSSA AZZAN, Bado unayo kesi TAKUKURU.
 
Back
Top Bottom