Mussa Zungu: Tutegemee mengi magumu yatakuja. Asema kupanda kwa bei hakujatengenezwa na Serikali

Mussa Zungu: Tutegemee mengi magumu yatakuja. Asema kupanda kwa bei hakujatengenezwa na Serikali

Kule nchi tajiri nchi ilitajirishwa na wananchi,akina Ford na magari yao ndiyo yaliyoijenga America,wewe na babu yako mmeifanyia nini Tanzania!?...umethubutu walau Kama don king kwenye ndondi!!?...au unajitahidi kuikosesha serikali mapato kwa kukwepa Kodi!?
Serikali ndiyo inayokusanya na ku-allocate resources.Inaweza ku-allocate resources vibaya au vizuri,kwa hiyo ni upunguani kufikiri kuwa serikali haiplay role katika umasikini au katika maendeleo ya nchi.

Akina Ford na magari yao ili walete maendeleo katika Taifa ni lazima serikali iweke sera nzuri katika ukusanyaji kodi na katika matumizi ya kodi hiyo katika maendeleo.Unapokuwa na akina Ford halafu ukawa na Serikali ya Mapaka kama ya Tanzania Taifa haliwezi kufua dafu katika maendeleo.
 
Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.

Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.

Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.

Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.

View attachment 2182755

Ivi kazi ya serikali ni nini? Maana Naona na serikali nayo inalalamika haya nayo ni maajabu walahi.....

inchi hii hakuna raisi, na aliyeshiba hawezi kumkumbuka mwenye njaa....
 
Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.

Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.

Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.

Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.

View attachment 2182755
hawa wanafaidi milions ya hela kwa mwezi hawana maumivu na utafutaji wa juani.Sasa wananchi tunaishi kama kuku wa kienyeji.Hatuoni thamani kubwa kwa wawakilishi wetu.
 
Bravo. Sophomore

Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.

Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.

Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.

Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.

View attachment 2182755
 
Hawa watu wameshatuona sisi wajinga sana, wameshiba hela wanaongea tu wanavyotaka, eti tutegemee magumu, sasa serikali maana yake nini?
Issue hapa ni ku mobilise resource kukabiliana na hii hali baadhi ya tozo zitolewe miradi mingine isimame kwanza. Sawa tunajenga madarasa ya kufundisha nini ili watoto wakimaliza wazalishe badala kukaa tu nyumbani na mitaani with nothing to do.
Je, hizo pesa zingetumika kwanza kuimarisha miundo mbinu ya kilimo uchumi usingekua kisha ukajenga madarasa. Tungeweza kutoa ruzuku ya mbolea. Madawa, zana za kilimo, umwagiliaji nk. Na baada ya mwaka tu kilimo kingetoa tija kubwa.
Unamkopesha kijana asome akimaliza unamwambia ajiajiri na bila mkopo itawezekana kweli?
Unampeleka mtu kusoma injinia halafu anamaliza kisha anakaa miaka kumi bila ku practise, huo uinjinia bado upo kweli na bado unamwambia ajiajiri huku wewe hujiajiri unafukuzia vyeo.
 
Back
Top Bottom