inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Itakua hujaona taifa masikini sanaAlietawala Taifa hili tokea uhuru na kulifanya kuwa masikini sana ndiye anaepaswa kulaumiwa kwa hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua hujaona taifa masikini sanaAlietawala Taifa hili tokea uhuru na kulifanya kuwa masikini sana ndiye anaepaswa kulaumiwa kwa hili.
Jiwe ni nani, tuanzie hapo😀Wewe Mpumbavu kila kitu unamtaja Jiwe wakati gani? Viongozi hawa wanafanya ujinga badala ya kuwakosoa wao unamtaja JPM!
Hoja kuu hapa siyo masikini sana vs masikini kidogo bali hoja kuu hapa ni kwamba anaebeba lawama kwa Taifa kuwa masikini hadi kushindwa kutoa ruzuku kipindi hiki cha mdhororo wa uchumi ni CCM.Itakua hujaona taifa masikini sana
unataka wanaojichamba na tolletpaper ndio wajazane?
We chawa mwambie shaka mkatembelee Zanzibar nchi ndani ya nchi.Zitaje nchi jirani ambazo hazina mfumuko wa bei
Ni utabiriHawa watu wameshatuona sisi wajinga sana, wameshiba hela wanaongea tu wanavyotaka, eti tutegemee magumu, sasa serikali maana yake nini?
Huyu ni fisadi miongo na muuza madawa ya kulevya, Ufaransa alikuwa ananunua mafuta ya kupikia akapikie wapi. Uongo umekuwa ugonjwa sugu kwa viongozi wetuMussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.
Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.
Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.
Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.
View attachment 2182755
Kabla hata ya vita bidhaa nchii hii zilikuwa zikipanda kila kukicha,hebu tuwe serious na maisha ya watu.
Kwa hiyo huku kwetu viazi vitamu, magimbi, viazi mviringo nk navyo vikipanda bei mtasingizia vita?? Mfano mafuta ya alizeti bei ilikuwa mbaya hata kabla ya vita je nayo tuzingizie vita?? Haya tuje kwenye petrol na diesel kabla ya vita kuanza bado kodi/tozo kwenye mafuta zilikuwa kibao kiasi kwamba majirani zetu Zambia wanaotoa mafuta bandarini kwetu bei yao iko chini kuliko sisi kwa zaidi ya sh 500!!! Je bado tuzingizie vita? Kama alivyoshauri mbunge Shabiby badilisheni utaratibu wa kuagiza mafuta nje, badala ya kutumia mfumo wa bulb procurement peke yake kampuni binafsi/watu binafsi pia waruhusiwe ili kuwe na ushindani utakopunguza bei.Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.
Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.
Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.
Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.
View attachment 2182755
Serikali zinazojitambua👇👏👏👏
View attachment 2182805View attachment 2182806View attachment 2182807View attachment 2182808Serikali za akina Mussa Zuzu👇🐒🐒🐒View attachment 2182809View attachment 2182810View attachment 2182811View attachment 2182812
Hayo mafuta ni kwa Lita ngapi? Kama ni kwa Lita moja hapo katuingiza chaka.Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.
Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.
Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.
Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.
View attachment 2182755
Hiii nchi mungu atufanyie wepesi, maana viongozi wetu karibia asilimia 98.5 hawajui financial na mathematics hata kidogoHayo mafuta ni kwa Lita ngapi? Kama ni kwa Lita moja hapo katuingiza chaka.