USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Wejamaa una account ngapiSawa ndo ata mchele tunaolima wenyewe nao upande!!!??
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wejamaa una account ngapiSawa ndo ata mchele tunaolima wenyewe nao upande!!!??
Vibaraghashia wamejazana mtajuta sana mwaka huuSuala la kuweka maTozo katika bidhaa na bei limetengenezwa na vita ya Russia vs Ukraine?
Tukimsamehe kabla hajaiacha dunia atatuletea TOZO nyingine.Tumsamehe tu,muda wake wa kuwepo hapa Duniani umeisha
Hatunywi sumu hatujinyongiiii, ccm mbele kwa mbeleeeSisi pesa imepigwa na mama na wapambe wake ilitolewa Kwa ajiri ya kukabiliana na mfumuko wa bei sisi tukajenga madarasa huku tuliambiwa madarsa yanajengwa kwa tozo ya miamala ya simu
USSR
Hatunywi sumu hatujinyongiiii, ccm mbele kwa mbeleeeDkt Magufuli angefukuka hawa wote wangekaa pembeni. Hivi kuna sifa kweli kutangaza inflation kwenye nchi masikini?? Yaani dah inasikitisha sana
Weeeeeh thubutu, shika adabu yako!Basi posho za wabunge zipunguzwe
Hahahahahahahahah wamemuwekea mrusi ila kawageuzia wenyewekumbe hapo ufaransa nao wanapitia kipindi kigumu kutokana na vikwazo walivyojiwekea wenyewe
Ndio aina ya viongozi wanaotakiwa kuwaongoza watz, kazi yao kubwa ni kulalamika kama wananchi pasipo kuchukua hatua zozote kwa sababu wamepewa madaraka makubwa yaliyowazidi uwezo.Mussa Zungu: Dunia ina matatizo makubwa, bei za bidhaa zimepanda huko zinapotengenezwa na kwakuwa zinapotengenezwa huko, zikija kwetu zinapanda vilevile.
Kwahiyo kupanda kwa bidhaa hizi sio suala la Tanzania, limetengenezwa na watanzania au limetengenezwa na Serikali ya Tanzania, ni suala ambalo limejitokeza kwa matatizo ya kiulimwengu ambayo yapo na hasa vita ya nchi hizi mbili kati ya Ukraine na Urusi.
Tutegemee mengi magumu yatakuja, kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu atunusuru na adha hii, amalize vita hii na dunia na nchi yetu irudi katika hali ya kawaida.
Mimi hivi karibuni nilikuwa Ufaransa, mkate sasa hivi huruhusiwi kununua kama zamani, mwisho ni mikate miwili, mkate umepanda kutoka euro moja sasa unauzwa euro nne, mafuta ya kupikia kutoka euro 2 mpaka 8, petroli euro 1.6 mpaka 7, hiyo ni Ulaya.
View attachment 2182755
Tozo ulipiga kelele kuzigomea,hiyo pesa ya ruzuku itatoka wapi!?Serikali zinazojitambua👇👏👏👏
View attachment 2182805View attachment 2182806View attachment 2182807View attachment 2182808Serikali za akina Mussa Zuzu👇🐒🐒🐒View attachment 2182809View attachment 2182810View attachment 2182811View attachment 2182812
Hii mojaWejamaa una account ngapi
USSR
Hao viongozi wenu bila kumshughulikia mmoja baada ya mwingine wataendelea kuwachezea sana akili na hisia zenu.Kabla hata ya vita bidhaa nchii hii zilikuwa zikipanda kila kukicha,hebu tuwe serious na maisha ya watu.
Sijaangalia video , sijui hata kama ametoa neno kuhusu Serikali iige nchi nyingine kwa kupunguza matozo ili bei ziwe afadhali kidogo kwa wananchi wao.Dkt Magufuli angefukuka hawa wote wangekaa pembeni. Hivi kuna sifa kweli kutangaza inflation kwenye nchi masikini?? Yaani dah inasikitisha sana
Jiwe alipochukua misaada ya tetemeko Kagera aliifanyia nini?Mpumbavu huyu walipewa pesa ya kupunguza madhila ya coronavirus wakajengea madarasa, sijui waliwaza nini. Sasa wanatupa story wakati walitwambia tozo za simu watajengea madarasa sijui wanawaza nini wanatuona hamnazo
USSR