[emoji2772][emoji846] Majuzi nimetoka kuirudia iko Poer.[emoji16][emoji16] huyo the rock alianza vizuri ilansasa muvi zake amekabidhi computer imchezeshe kama katuni
Ana muvi kali kama skyscraper 2018 ila sasa hivi duuh
Nani ameichek hiyo skyscraper
Daaah ko unataka kujikera kabisa Mwanetu?..? [emoji848]Nahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
Shooter bonge la movie.White house down
Shooter 2007
SALT
ZA NETFLIX WATAKULETEA WADAU
kuna moja si ya kibaguzi sana yupo samwel Jackson na Yule Falcon wa avengers.Nahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
HopeNahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
Kaanze na EmancipationNahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
The Banker?!kuna moja si ya kibaguzi sana yupo samwel Jackson na Yule Falcon wa avengers.
setting miaka ya 90's huko kulikuwa kuna Bank hawaruhusiwi Negros (Blacks) kuingia hiyo Bank Jamaa wakafanya makeke wakainunua Bank ko wao wakawa ma Boss afu wafanyakazi wazungu [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]
Movie ina story nzuri, sema ile black and white sikujua why? lakini Movie nzuri sana...Kaanze na Emancipation
Hata mimi sijapenda ile Black and white ila naunga mkono movie nzuri[emoji106]Movie ina story nzuri, sema ile black and white sikujua why? lakini Movie nzuri sana...
Au movie yake kali nyingine San Andreas[emoji16][emoji16] huyo the rock alianza vizuri ilansasa muvi zake amekabidhi computer imchezeshe kama katuni
Ana muvi kali kama skyscraper 2018 ila sasa hivi duuh
Nani ameichek hiyo skyscraper
Bonge moja la movies nimetoka kuicheki jana
Bonge moja la movies nimetoka kuicheki ja
Inaonakana hii ni kali sana huwa naona post tukuna moja si ya kibaguzi sana yupo samwel Jackson na Yule Falcon wa avengers.
setting miaka ya 90's huko kulikuwa kuna Bank hawaruhusiwi Negros (Blacks) kuingia hiyo Bank Jamaa wakafanya makeke wakainunua Bank ko wao wakawa ma Boss afu wafanyakazi wazungu [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]
Msisababishe tuchome bando kumbe muvi ni ya kulialia na mapenzi humo ndani halafu mnaita bonge la muviBonge moja la movies nimetoka kuicheki ja
inaitwa The Banker jamaa kanikumbusha hapo JuuInaonakana hii ni kali sana huwa naona post tu
Whitehouse Down [emoji23]"Gets your hands off my Jordan"..
Guess the movie
[emoji3][emoji3]Umetisha Kiongozi.Whitehouse Down [emoji23]
Umeimaliza?[emoji3][emoji3]Umetisha Kiongozi.