princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Yani katika Movie zote hapo sijaangaliaHata hyo imenishinda kbsa.... Niliangalia episode kama 4 lakin naona sio mpenz
Ntaiangalia baada ya miaka mi4 mkishaisahau [emoji1787]Duh... bora ukose series zote lakini sio Squid Game aisee, hujitendei haki kwa kweliView attachment 2536313
Hivi blinders ina nini humo?Yani katika Movie zote hapo sijaangalia
ila naona hamnaga kitu kama Peaky Blinders, pia kwakua ni ya waingereza hawanaga sana ule usela mavi mavi
Cilian Murphy ameitendea haki sana nafasi yake zaidi ya sanaa, Yani Thomas ni mtu fulani makini sana
Nimependa gangsland tu... Ndio mpka sasa naichekYani katika Movie zote hapo sijaangalia
ila naona hamnaga kitu kama Peaky Blinders, pia kwakua ni ya waingereza hawanaga sana ule usela mavi mavi
Cilian Murphy ameitendea haki sana nafasi yake zaidi ya sanaa, Yani Thomas ni mtu fulani makini sana
Knock at the cabin.. niliiona miyayushoWakuu MSIANGALIE infinity pool na Knock at the Cabin... Ni movie mpya zmetoka hv juzi ni MBAYAAAA sjapata kuona!!!!!!
Knock at the cabin ni nzuri sana. Inafikirisha.. sehem pekee yenye ukakasi ni characters wa single sex couple. Ila bonge la storyWakuu MSIANGALIE infinity pool na Knock at the Cabin... Ni movie mpya zmetoka hv juzi ni MBAYAAAA sjapata kuona!!!!!!
Kwa kifup plzCobra Kai [emoji91][emoji91]
Aaaah Story me hata sjaielewa aisee.. Story ngumu kumeza!Knock at the cabin ni nzuri sana. Inafikirisha.. sehem pekee yenye ukakasi ni characters wa single sex couple. Ila bonge la story
Hiki chuma kenyewe pia kuna a man called ove.. inafanana na hiiHey pipo.
Kwa wale ambao wanaweza kuangalia movies za story basi angalieni hii muvi.
Iko vizuri sana
View attachment 2534618
kuna vitu adimuHivi blinders ina nini humo?
The first season begins in the 2017-18 school year, and follows a down-and-out Johnny using karate to defend his new teenage neighbor Miguel Diaz from a group of bullies. Johnny agrees to teach Miguel karate and opens the Cobra Kai karate dojo as a chance to recapture his past.Kwa kifup plz
Umefafanua vyema nilikuwa siielewi licha ya kujadibu episodes kadhaa kwasababu nilikuwa naona mambo ya kizamanizamani tukuna vitu adimu
Peaky blinders ni kundi la wafanya biashara tuseme haramu ambao wamebase mji wa Birmingham linaloongozwa na Thomas Shelby na aunt yao pamoja na familia ya Shelbys..
Thomas anapambana sana na makundi mengine ili Kufanikisha legacy ya familia pia kwa ajili ya maisha
Thomas anatumia akili sana ni kama Genius, ni mtu hayumbishwi, Family First na mpambanaji sana hakubali kushindwa jambo analoliamini..
Yote kwa yote ni katika kujaribu ku survive katika kipindi kile nchi ilipokua na magenge mengi baada ya England kutoka vitani France
yani huwezi amini Nmeiangaliaga kwa utulivu sana ...Thomas ni mtu mpambanaji sana hakati tamaa haonyeshi hisia zake kirahisi ila ana mengi ameyabeba ndio mana mwanzoni kabisa Grace anamwambia nikikuimbia wimbo utakuumiza moyo, Ye akamjibu ""Already broken" na Shelby's huwa hawana shida na mtu asie na shida na wao pia sio kwamba ni genge la wanyaaama hapanaUmefafanua vyema nilikuwa siielewi licha ya kujadibu episodes kadhaa kwasababu nilikuwa naona mambo ya kizamanizamani tu
Ninashawishika kuirudia ahsanteyani huwezi amini Nmeiangaliaga kwa utulivu sana ...Thomas ni mtu mpambanaji sana hakati tamaa haonyeshi hisia zake kirahisi ila ana mengi ameyabeba ndio mana mwanzoni kabisa Grace anamwambia nikikuimbia wimbo utakuumiza moyo, Ye akamjibu ""Already broken" na Shelby's huwa hawana shida na mtu asie na shida na wao pia sio kwamba ni genge la wanyaaama hapana
wamebalance utu na unyama.. ni watu wenye mikakati hawafanyi fanyi tu Tom anafanya kazi
mi nataka niirudie jamaa alikua anani inspire sanaNinashawishika kuirudia ahsante
Ni balaa halaf ina uhalisia ndan yakNi mkali?
Hiz ndio muvi zinazofikirisha na zinahusianisha na maisha halisi na namna ya kusolve changamoto...i love them allJaman mimi movie za ki gangstar zimenishinda kbsa hizi za gangs of London, king of harlam na mayor of kingstone..
Aisee naisubir vita ya Tommy na "the black cat"kuna vitu adimu
Peaky blinders ni kundi la wafanya biashara tuseme haramu ambao wamebase mji wa Birmingham linaloongozwa na Thomas Shelby na aunt yao pamoja na familia ya Shelbys..
Thomas anapambana sana na makundi mengine ili Kufanikisha legacy ya familia pia kwa ajili ya maisha
Thomas anatumia akili sana ni kama Genius, ni mtu hayumbishwi, Family First na mpambanaji sana hakubali kushindwa jambo analoliamini..
Yote kwa yote ni katika kujaribu ku survive katika kipindi kile nchi ilipokua na magenge mengi baada ya England kutoka vitani France