Au kwa kuwa star ni mwanamke πππNimetoka kuicheki ghosted pamoja na assassin club
Kiukweli ghosted ni ya kawaida sana mkuu bora assassin club wamejitahidi mnoo π₯π₯
Kwanini unasema ghosted ni ya kawaida?Nimetoka kuicheki ghosted pamoja na assassin club
Kiukweli ghosted ni ya kawaida sana mkuu bora assassin club wamejitahidi mnoo π₯π₯
Safi sana kaka...maana melo hatuzingatii sisi wa appUnyama mwingi kaka now naslide like Wacko Jacko
Nilitarajia makubwa aise kumbeAu kwa kuwa star ni mwanamke πππ
Muvi iko vizuri kuliko kupoteza muda kwenye avatar bora hiyo
Kijana hiyo muvi ni nzuri ukilinganisha na ujinga ujinga wa muvi wanazo ita za bajeti kubwa. Actions za maana tuzisubiriNilitarajia makubwa aise kumbe
Action za kawaida tu
CIA wapo kama polisi tu
Story nyepesi
Wamejitahidi kwa kiasi chakeKijana hiyo muvi ni nzuri ukilinganisha na ujinga ujinga wa muvi wanazo ita za bajeti kubwa. Actions za maana tuzisubiri
Kwa
John wick chp 4
Equalizer 3
SISU
GoojaraWapi naweza shusha hd movies kupitia android naona kwa sasa popcorn time haifanyikazi tena
Ubora wa ghosted ukoje? Kwasisi ambao hatujaangaliaKijana hiyo muvi ni nzuri ukilinganisha na ujinga ujinga wa muvi wanazo ita za bajeti kubwa. Actions za maana tuzisubiri
Kwa
John wick chp 4
Equalizer 3
SISU
Ungemdadavulia kuhusu hiyo U-torrentGoojara
U-torrent
Kwani saivi kuna muvi gani ya action mpya nzuri?Ubora wa ghosted ukoje? Kwasisi ambao hatujaangalia
Mkuu Ghosted ni comedy, action pamoja na romance ndani yake. Ni aina fulani ya movie kama murder mystery au ile Red Notice ya The rock, kuna action lakini ni ya kuchekesha pamoja na kuonyesha mapenzi ya hao main characters. Binafsi sijaiona kama mbaya sana ni heri hiyo kuliko baadhi ya movies ambazo zishatoka.Ubora wa ghosted ukoje? Kwasisi ambao hatujaangalia
Jaribu pia fzmovies.net una option ya hd pamoja na low quality. Jiandae pia kupambana na ads kwenye site yao!Wapi naweza shusha hd movies kupitia android naona kwa sasa popcorn time haifanyikazi tena
Mkuu hii nimeishajaribu sana lakin she kupata mafanikio sijui wapi nakoseaJaribu pia fzmovies.net una option ya hd pamoja na low quality. Jiandae pia kupambana na ads kwenye site yao!
Umeshindwaje mkuu?! Yani movie uliyokuwa unaitafuta hukuipata?!Mkuu hii nimeishajaribu sana lakin she kupata mafanikio sijui wapi nakosea
Hapana ni jinsi ya kudownload maana kila nikibonyeza kitufe cha kupakua movie hakuna matokeo ninayopataUmeshindwaje mkuu?! Yani movie uliyokuwa unaitafuta hukuipata?!
Nimefanikiwa mkuu je kuna website au app ambayo naweza kupakua movie kwa resolution ya 1080pUmeshindwaje mkuu?! Yani movie uliyokuwa unaitafuta hukuipata?!
Okay changamoto ya hizi sites ni ads tu. Kuhusu resolution ya 1080p labda jaribu goojara.to huwa naona pale chini ukidownload movies nyingine zina resolution hiyo ya 1080p. Japo binafsi naona hata ya fzmovies sio mbaya zipo clear. Au kama unataka ile yenyewe yenyewe cheki torrent na yts hukoNimefanikiwa mkuu je kuna website au app ambayo naweza kupakua movie kwa resolution ya 1080p