Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
[emoji1][emoji1]hipo tena HDNaona Fast X ipo hewani wakuu
Doh hebu Kesho niishushe nione magari yanavyopaa[emoji1][emoji1]hipo tena HD
Mkuu kifurushi gani hiko.. napata shida saiv nipo vijijini data zimekuwa kipengeleShusheni mizigoView attachment 2651712
Hii bando unazipatajeShusheni mizigoView attachment 2651712
Cha wafanyakaziMkuu kifurushi gani hiko.. napata shida saiv nipo vijijini data zimekuwa kipengele
Itabidi nijichange ninunue na laini ya tigo kwa ajili ya hiyo kitu. Niliona pia kwa mtu nikadhani ni utapeli.Cha wafanyakaziView attachment 2651725
Uzuri wake hii ikifika taher moja ya mwanzo wa mwezi unapewa GB alafu unapewa siku unakua unalipia kidogkidg.Itabidi nijichange ninunue na laini ya tigo kwa ajili ya hiyo kitu. Niliona pia kwa mtu nikadhani ni utapeli.
Shukrani kwa kushare mkuu. Nimechek nimekuta ipo season ya 11 saiv sio poa. Ndio napendaga hizi sina haja ya kusubiri subiriila jamani kuna movies afu kuna hii The Walking Dead kama ulishawahi kuifatilia utakuja na kuniambia kuhusu mpangilio wa matukio wahusika serious kama vile
RICK, NEGAN, MAGGIE, MICHONNE, ALFA, DARLY DIXON, RJ, Father GABRIEL, EUGENE PORTER nk
ni Horror afu haitishi ina ukweli sana mtu akifa amekufa hakuna cha danganya toto
HAKUNA MOVIE NILIYOWAHI KUONA BORA KAMA HII
Shukrani mkuu, huku airtel sijui kama wanayo hiiUzuri wake hii ikifika taher moja ya mwanzo wa mwezi unapewa GB alafu unapewa siku unakua unalipia kidogkidg.
Airtel walikua nayo inaitw SME sijui kama bado ipoShukrani mkuu, huku airtel sijui kama wanayo hii
Nitafatilia niangalie na gharama zao[emoji106]Airtel walikua nayo inaitw SME sijui kama bado ipo
Cheki na mitandao mingine mkuu, wanasema halotel inakamata sana vijijiniHuku kimbiji tigo hata vocha hazipo mtandao unasoma E
Moja kati ya uongo uliotukuka, kutoka kwa hao wanaosema hivyo.Cheki na mitandao mingine mkuu, wanasema halotel inakamata sana vijijini
Hata mimi sina uhakika japo nina rafiki angu yupo chimbo na mtandao wenye unafuu huko ni halotelMoja kati ya uongo uliotukuka, kutoka kwa hao wanaosema hivyo.
Kwa vijiji nilivyotembea halotel wapewe maua yaoMoja kati ya uongo uliotukuka, kutoka kwa hao wanaosema hivyo.
Hiii inakula sana mb du