Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Sio mchezo nilipigwa physics moja hatari sana alafu jamaa akarecommend movie nyingine ya INCEPTION na yenyew kutoka kwa NOLAN nikaenda nikaidownload kuangalia mala ya kwanza sikuelew nikaludi tena YouTube nilivyoenda kuangalia mala ya pili nikaielewa vizuri[emoji16][emoji16]Ukaenda kula tutorial kwa kwanza
[emoji16][emoji16]hiyo nayo naikumbuka.. dah nitakuja nizishushe tena niangalie huwenda saiv ntatuliaSio mchezo nilipigwa physics moja hatari sana alafu jamaa akarecommend movie nyingine ya INCEPTION na yenyew kutoka kwa NOLAN nikaenda nikaidownload kuangalia mala ya kwanza sikuelew nikaludi tena YouTube nilivyoenda kuangalia mala ya pili nikaielewa vizuri
Movie inaumiza sana kichwa iyo[emoji1787][emoji1787]inaonekana ni suala limeumiza watu wengi duniani. Binafsi sijawahi kuiangalia nikaimaliza.
Maisha yalivyokuwa magumu hivi wengine tunahitaji kitu cha kufuraisha ubongo, sasa unaangalia movie lakini unajikuta unakaza fuvu ova unajiandaa na mtihani.View attachment 2656293
[emoji23][emoji23]hakika utakuwa umepata IQ testHiyo Tenet inapaswa niishushe kutest IQ yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama Actor mmojawapo wa hyo movie amesema maneno ayo we unafikiri kuna nini apo kinaendelea kama sio kurudishwa darasani kusoma Mathematics [emoji28][emoji23]TENET itakuwa ni muvi nzuri sana ambayo unaweza kuitumia kujipima IQ [emoji28][emoji28]
Hata mimi nataka nikaiangalie ili nipime uwezo wangu wa kuelewa movie [emoji16][emoji16]
Hivi john wick 4 ndo amekufa kweli haina mwendelezo, mbona zile za kwanza 123 anapigwa risasi nyingi mpaka mbavuni anatoa mwenyewe zingine anatolewa imekuwaje zile tatu mtu hoi 😅na kudead kadead
Nimeamua kuitafuta tena hii movie niangalie tena sitak kupoteza hata sekunde [emoji1787][emoji1787]Sasa kama Actor mmojawapo wa hyo movie amesema maneno ayo we unafikiri kuna nini apo kinaendelea kama sio kurudishwa darasani kusoma Mathematics [emoji28][emoji23]View attachment 2656493
Aliye direct movie ya Tenet ndie huyo huyo aliye direct movie ya inception na ana movie yake nyingine ya kuvuruga kichwa inaitwa interstellar ya mwaka 2014Nimeamua kuitafuta tena hii movie niangalie tena sitak kupoteza hata sekunde [emoji1787][emoji1787]View attachment 2656519
Hii tenet ukiiweka geto utakuta watu wamekaa kimya kama darasani na hawaelew bado[emoji16][emoji16]Aliye direct movie ya Tenet ndie huyo huyo aliye direct movie ya inception na ana movie yake nyingine ya kuvuruga kichwa inaitwa interstellar ya mwaka 2014
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii tenet ukiiweka geto utakuta watu wamekaa kimya kama darasani na hawaelew bado[emoji16][emoji16]
Asee mwanadada ZOE atakua na miaka 57 wakata anashoot AVATAR 1 alikua na miaka 27Release date for upcoming avatar movies delay
-Avatar3 ilikuwa itoke december 2024 wameipeleka mpk dec 2025
-Avatar4 kutoka dec 2026 mpk dec 2029
-Avatar5 kutoka dec 2028 had dec 2031
[emoji23][emoji2][emoji2]yaan hadi miaka hyo tu movie inaendelea sasa si bora waweke iwe season kuliko huo upuuzi waoRelease date for upcoming avatar movies delay
-Avatar3 ilikuwa itoke december 2024 wameipeleka mpk dec 2025
-Avatar4 kutoka dec 2026 mpk dec 2029
-Avatar5 kutoka dec 2028 had dec 2031
Moja kati ya korean series ya hovyo sana, nilishia episode ya pili nikaifuta na kuachana nayo.
kma James bond tu sequels tangia sijui agano la kale huko hadi leo[emoji23][emoji2][emoji2]yaan hadi miaka hyo tu movie inaendelea sasa si bora waweke iwe season kuliko huo upuuzi wao