Kali sana hiyo mkuuHuu mzigo naona unasifiwa una maajabu kweli @Mr QView attachment 3078134
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kali sana hiyo mkuuHuu mzigo naona unasifiwa una maajabu kweli @Mr QView attachment 3078134
Yeeer ipo vizur kijnaaHuu mzigo naona unasifiwa una maajabu kweli @Mr QView attachment 3078134
Kali sana hiyo mkuu
Ngoja niipakue nioneYeeer ipo vizur kijnaa
Nzuri sana kiongoziHuu mzigo naona unasifiwa una maajabu kweli @Mr QView attachment 3078134
True legendHabarini wadau kuna movie naiska ila siijui jina
Star ni jamaa mmoja anaitwa CHUMA NCHIKU ila sina hakika kama inaandikwa hivyo,jamaa kapigana na shemeji uumyake mwenye mikono ya sumu
Mwenye kujua jina tafadhali
Asante mkuuTrue legend
Nigeria?Habarini wadau kuna movie naiska ila siijui jina
Star ni jamaa mmoja anaitwa CHUMA NCHIKU ila sina hakika kama inaandikwa hivyo,jamaa kapigana na shemeji uumyake mwenye mikono ya sumu
Mwenye kujua jina tafadhali
Naipataje hiiWale wapenzi wa action
Wakuu samahani mie kuna series naitafuta nimeisahau jina, series yenyewe hizi kama game of thrones au viking yaani hizi za kupigania kingdom, episode ya mwisho inaonyesha kuna kingdom moja ilikuja kupigana wakashindwa kisha walio shinda wakafuata kule kwao wakawona wanaondoka lakini waliacha sanamu km la farasi na ndani kulikuwa na nafaka mbalimbali kumbe na umo kuna askari wamejificha,
Wale washindi wakachukua lile sanamu kupeleka kwao kisha wakafanya sherehe kubwa wanakunywa km kawaida yao, ilipofika usiku wale askari waliokuwa kwenye sanamu wakatoka wakafungua geti na jamaa zao walikuwa tayari hapo nje.
Wale walio shinda full shangwe ndani jamaa wakawavamia wakawaua karibia wote na kuchukua hiyo kingdom, hiyo season ya kwanza ikaishia hapo lkn ikawa inaonekana kuwepo muendelezo wa season 2
Wakuu sijui hapo mtakuwa mmeielewa hiyo series
Naomba jina lake
Mkuu nakushukuru sana tena sana, ndio yenyewe hiyo hiyo, na sanamu nililokuwa nasema ndio hilo hapa![]()
Pengine ni hii sina uhakika..
Ndio naanza kuudownload mzigo hapa ni enjoy kuucheki, mkuu nakushukuru sana aiseeMkuu nakushukuru sana tena sana, ndio yenyewe hiyo hiyo, na sanamu nililokuwa nasema ndio hilo hapaView attachment 3148921View attachment 3148922