hahahahahaaa,yani kaka mi mwenyewe mpaka leo kile kipande sichoki kukiangalia.hayo maneno ya Viggo ndo my best quote kwenye ile movie...hiyo ilikua ni baada ya Viggo kumwambia mwanae "it's not what you did, son, that angers me so...it's who you did it to." na mwanae baada ya kujibu "who? that fuc**ng nobody!!!" Viggo ndo akasema yale maneno ambayo shemeji yetu bado anayakumbuka mpaka leo, kama ambavyo nami nayakumbuka pia.
Kiukweli bongo bado tupo nyuma sana kiuandishi na uigizaji pia, ndo maana mtu ukizoea kuangalia movie kali kama John Wick na series kama 24 ya Jack Bauer zenye script kali na waigizaji wazuri ni ngumu sana kupenda bongo movie ambazo kiukweli zinahitaji mapinduzi ya hali ya juu