Must see Movies

Must see Movies

Huu mzigo nani kauona?..?
Screenshot_20221226-202933.jpg
 
kuna moja si ya kibaguzi sana yupo samwel Jackson na Yule Falcon wa avengers.

setting miaka ya 90's huko kulikuwa kuna Bank hawaruhusiwi Negros (Blacks) kuingia hiyo Bank Jamaa wakafanya makeke wakainunua Bank ko wao wakawa ma Boss afu wafanyakazi wazungu [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]
Inaitwaje hiyo mkuu niitafute
 
Napenda adventure, historical na science fiction.
Kwa yeyote mwenye kujua movie nzuri ya namna hii Kali anisaidie majina ... iwepo Netflix.
 
😀😀 sasa utaiita muvi ni kali kisa watu wanacheza kwenye pool lililojaa maji huku wakinywa mvinyo?
Movie ni story ni mkuu, ukielewa story aise utaipenda tu ..kuna movie hazina mkono kabisa lakini babu zinakubamba kinoma 😀😀😀
Ila kaa unapenda mkono basi wee endelea umo umo maana huko kwingine hupaelewi kabisa
 
Napenda adventure, historical na science fiction.
Kwa yeyote mwenye kujua movie nzuri ya namna hii Kali anisaidie..
Jumanji, avengers zote, black Adam, transformer zote, justice league iyo ina masaa manne mzee 😂😂😂
 
Napenda adventure, historical na science fiction.
Kwa yeyote mwenye kujua movie nzuri ya namna hii Kali anisaidie majina ... iwepo Netflix.
Historical zile za based on true story? Maana kuna za kivita, za kawaida
 
The Boy Next Door..

Claire ambaye ana mgogoro na mume wake anajikuta anazagamuana na kijana mdogo ambaye ni jirani yake..Claire anasema ilikuwa mistake..Kijana mdogo anasema hapana na anakuwa kinganganizi..anaandaa vita kali na Claire.

Nimeielewa sana.
Jlo ndo zake hizo na viserengeti even in real life
 
[emoji3][emoji3] sasa utaiita muvi ni kali kisa watu wanacheza kwenye pool lililojaa maji huku wakinywa mvinyo?
Kipindi tupo chuo ulikuwa ukija geto na flash yako unataka kuangalia movie wana wanakuuliza "ina kifinyo" kama haina unaambiwa tulia pembeni subiri movie zije au kwa kukusaidia tukukopie kwenye simu tukupe na earphones uangalie kwenye simu yako[emoji23][emoji23]
 
mbona ina Rates za ajabu 3 [emoji848]
hiyo

Mi hata sijaiona, kama ina rates za ajabu basi ngoja niachane nayo
Halafu kuna watu walikuwa wanaisifia Violent Night humu, leo nimeiangalia. Mbona ni muvi ya kawaida sana hii
 
Back
Top Bottom