Must see Movies

Must see Movies

View attachment 2513318

HEY YOU

Mwamba ni Software Engineer kutokana na shughuri zake anatumia muda mwingi Sana kazini na nyumbani kushinda na kumpyuta Hali inayomfuanya awe mpweke zaidi na ukizingatia hana mpenzi ataweza mpa kampani, kutokana na haali hio inamfanya jamaa kujiunga na mitandaoni ya kijamii ya kufanya mapenzi Mtandaoni yaani una login unachekiana na Mwanamke yeye yupo kwake na wewe upo kwako munafanya mapenzi kwa video charting

Siku moja akiwa anaendelea kufanya vedio Sex na Manzi mmoja ghafra Connection inakata Mwamba akiwa yupo High hivyo anachukia ila mda huohuo Kama dakika 15 mlango wake unagonga akifungua anakutana na Manzi mmoja Pisi kali Manzi anamuomba msaada Mwamba kuchaji PC yake na kumwambia yeye Ni jirani yake kwenye appartment hiohio hapo tu Next Door...Manzi alivyonigia ndani akaomba aende chooni mala Mwamba anaonaa text na picha ya yule Manzi alikuwa akisex nae Mtandaoni akimwambia WAIT mtandao kumbe bila kujua huyu Manzi aliyekuja kuchaji PC ndiye yuoe Manzi anaye sex nae mtaandaoni na lengo la kuja pale geto kuchaji hili akaendelee na pale walipoishi lakini wote hawajuani kwamba ndio wakule Mtandaoni kisanga maana huu nfio unakuwa mwanzo wa ukaribi na kuanza mahusiano ya kimapenzi bila ya kujuana ndio hao huwa wanafanya sex Mtandaoni....

Mzigo ninao pia Nina mizigo mingine mipya ya mwaka huu
1)PLANE ya Gerald Butcher
2)Megan (Horror)
3)True Spirit
4)Baby Ruby
5)Infesto (Crime Scine)

Nicheki PM nakuwekea Movie zaidi ya 200 kwa 9,000 tu
Nishakucheki pm
 
Polar...... muvi ya waasherati[emoji23][emoji23]
Jamaa kagonga demu, akapigwa shaba ya kichwa akafa ila bado mashine imesimama
Ila movie inakosha sana ile
Pale kuna dk kama mbili au tatu za mizagamuo kila uki 'skip' ngoma inadondokea kwenye mzagamuo ova unaangalia mdungo[emoji16][emoji16]
 
Project Wolf Hunting..!!
Imezidi jamani
kama hupendi damu imabidi uiache [emoji1][emoji1], sema nilidhani patapatikana japo survivor yani meli nzima hakuna kubaki [emoji1][emoji1] afu akabaki mtu ambae sikumtegemea japo kuna mahala alinishangaza nikaona huyu dogo sio kawaida.. watoe part 2
japo wakorea wanachelewaga hata miaka
 
Another kigongo cha love story kinachohusu characters wawili wagonjwa wa cancer waliofall in love
IMG_20230216_133851.jpg
Screenshot_2023-02-16-13-38-02-92_92b13083cedf301196e2270b2f1fa7eb.jpg


Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Mnataka kusema wkend hii hakuna muvi hata moja ya kuzugia?
🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁
 
Kwa walioiona hii muvi "SEOUL VIBE nadhani mliona wakati wa action graphics zinabadilika zinakuwa kama za game la GTA. Sijui director alifikiria nini [emoji38][emoji38]
Screenshot_20230217-162153.jpg
Screenshot_20230217-162138.jpg
 
Back
Top Bottom