Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
CAM VERSIONHuu mzigo umetoka??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAM VERSIONHuu mzigo umetoka??
Sawa asante...ya mwaka gani?"THE Unforgivable"
Bonge l movie hili n ndio highest rated movie of all time imdb[emoji23][emoji23]kuna vigongo vikali sana mkuu vya miaka ya nyuma mfano check movie inaitwa Shawshank redemption ni ya 1994 inaongoza kwa rate kubwa imdb ina 9+ uko bonge moja la movie alaf mimi sasa nimekuja lidownload mwaka jana mwishoniView attachment 2517692
Fz ipo we kaangalie vzurHata fz hamna?!
Ole wenu iwe ya hovyo[emoji23][emoji23]kuna vigongo vikali sana mkuu vya miaka ya nyuma mfano check movie inaitwa Shawshank redemption ni ya 1994 inaongoza kwa rate kubwa imdb ina 9+ uko bonge moja la movie alaf mimi sasa nimekuja lidownload mwaka jana mwishoniView attachment 2517692
Safi mkuu....mnapotea sana aisee.Tupo...tupo
Ukikuta ya ovyo nakurudishia bando lakoOle wenu iwe ya hovyo
Mzigo umetulia sanaBonge l movie hili n ndio highest rated movie of all time imdb
Hahaha sawa
Mkuu nimeshaicheki iko poaNzuri Sana hautajutia kabisa bando lako napenda movie zenye upekee kama hizo
mi sielewi mtu anapendaje kitu kama Bel Air 🤣🤣 mpaka najishangaa au mi ndo sielewiWewe unapenda kama hizo za akina bel air za walamba lips?
Hata walamba lips mda mwingine wana vitu vizuri mkuu [emoji16]Wewe unapenda kama hizo za akina bel air za walamba lips?
Nimeiangalia jana kwa kweli iko poa. Sasahv nitaanza ku download movies za Sandra bila kuangalia trailer [emoji106]Nzuri mno, Sandra anatakiwa ku-move from place moja hatari ambayo ukiona mwanga unakufa, kwenda sehemu nyengine salama akiwa na wtt wawili...mmoja wa sister wake ambae alikufa na mwengine wa mdada stranger tu nae pia alikufa. Yaani tangu wtt wachanga mpk wanafikia 5 years ndio wanafika hio safe place
Ya muda kidogo 2021Sawa asante...ya mwaka gani?
Nilishaipata mkuu[emoji106]Fz ipo we kaangalie vzur
Sandra yupo vizuri. Ushawahi kuicheki THE Net ya zamani lkn kwenye nineteensNimeiangalia jana kwa kweli iko poa. Sasahv nitaanza ku download movies za Sandra bila kuangalia trailer [emoji106]
Vijana walio.maliza masomo ya from five na six hao huwezi kuwaambia kitu muvi za masharobaromi sielewi mtu anapendaje kitu kama Bel Air 🤣🤣 mpaka najishangaa au mi ndo sielewi
Hiyo nayo ni ya Sandra?; Sijawahi kuicheki kesho ntashuka nayoSandra yupo vizuri. Ushawahi kuicheki THE Net ya zamani lkn kwenye nineteens
Kwahiyo Reuben Challe nae ni form six leaver[emoji16]Vijana walio.maliza masomo ya from five na six hao huwezi kuwaambia kitu muvi za mashatobaro
aisee hapana [emoji23][emoji23] tena yakiwa yale maisha ya hood ndo kabisaa nachefukwaHata walamba lips mda mwingine wana vitu vizuri mkuu [emoji16]