Amri kuu ni Upendo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 789
- 489
Kwa Wazungu, filamu za Afrika zinazoshinda ni zile zinazoelezea matatizo yanayowapata waafrika...Disgusting!!!
Kwao, sisi Afrika ni shida, tabu, adha, kadhia, matatizo, dhahama, mapito na maneno yanayofananana na hayo. I dont buy that!!
Waafrika tunaishi kwa kupendana (nakubali tuna matatizo ya hapa na pale)...Lakini tunathaminiana sana....na zikitengenezwa filamu za Mshikamano, utakuta zinakamata mkia... To hell with their rating!!
Hapa mkuu licha ya ujumbe pia tukiangalia upande wa viwango bongo movie ni sifuri kabisa, sauti mbaya, position za camera mbaya, rangi hovyo kabisa, uvaaji wa uhusika pumbafu kabisa, location za kijingajinga,na wanapoigiza mapigano (action) ndio wanakuwa pumbaaafu kabisa...